macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwa nini wanamwogopa huyu kilaza. Ngingekuwa mimi ndiyo huyo dada ningemwambia hata mimi nina mume mwenye elimu ya kweli na siyo ya kuunga unga kama wewe.Two things that men must never mention in public unnecessarily, your money and your wife.
Ka unauchungu mbona jini kalaba humpigii kelele za mwizi wakati ndo jambazi kuu... unabaki kumsifia tuuHAKUNA HURUMA NA WEZI WA MALI ZA UMMA NANI ALIMWAMBIA ATUMIE HELA YA WALIPA KODI KAMA YA KWAKE?
Kajitakia mwenyewe, anaremba nini?
Ukiangalia una ona kabisa ni zero brain, na anaeolewa na zero brain unadhani yukoje? Ndege wafananao...Huyo baba anaropoka sana… anajitia aibu, sijui mkewe hamwambii?
Angekaza tu , kwani kuongeza sauti ingempunguzia nini?Wa kike. Unataka abwabwaje kama huyo mjomba wenu Makonda?
Swela Swela mwagitoMkombozi gani mpumbavu huyu! Huo udhalilishaji haukubaliki kwa civilised people labda kama hujitambui! SASa hivi kwenye hizi kazi kuna ethics and compliance hili bomu halifai kuwa kiongozi la umma! Hawa ndio walipigwa chuma na mee Mwamwindi my hero!
Angekuwa mke au ndugu yangu ningemnyang'anya kipaza sauti na kumwambia twende nyumbani achana na hiyo kazi ambayo haukuiomba. Cha kushangaza kuna jitu moja lipumbavu limevaa kapero linashangilia kwa kupiga makofi!Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156
Huyo dada si mwanasiasa nahuenda hiyo ni mara yake ya kwanza kuongea hadharani kwa kutumia kipaza sauti na inawezekana sauti yake ndivyo ilivyo, hoja kwanini Makonda atumie lugha ya kejeri na dharau dhidi ya huyo dada? Kama hakutekeleza wajibu wake vizuri mkuu wake wa kazi kama kanunu za ajira zinavyosema ndiye alitakiwa amhoji ofisini kwake si hadharani.Aliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
Anaiga udhalilishaji wa Magufuli.Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156
Una uhakika amedhalilishwa?Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156
Akili kisodaAkiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156
Acha kulidharirisha neno "MKOMBOZI"!MWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Yaani basi tu. Haya madaraka yanalevya sana!Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156
Wewe ni **** mayoMWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Ndiyo nini Sheikh?Swela Swela mwagito
Subiri wewe. Sisi tunataka kujua nini kimefanyika na kamati hilo la kutoa sauti haisikiki hatutaki. Nyinyi ndio wale wa utawala wa sheria mnataka kero zisikilizwe faraghani wakati uongozi wa haki unataka kila kitu kiwe wazi.Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156