Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Angekuwa mke au ndugu yangu ningemnyang'anya kipaza sauti na kumwambia twende nyumbani achana na hiyo kazi ambayo haukuiomba. Cha kushangaza kuna jitu moja lipumbavu limevaa kapero linashangilia kwa kupiga makofi!
 
Aliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
Huyo dada si mwanasiasa nahuenda hiyo ni mara yake ya kwanza kuongea hadharani kwa kutumia kipaza sauti na inawezekana sauti yake ndivyo ilivyo, hoja kwanini Makonda atumie lugha ya kejeri na dharau dhidi ya huyo dada? Kama hakutekeleza wajibu wake vizuri mkuu wake wa kazi kama kanunu za ajira zinavyosema ndiye alitakiwa amhoji ofisini kwake si hadharani.
Watanzania tupinge hizi mahakama za Makonda dhidi ya watumishi wa serikali ambao wanalindwa na kanuni za ajira.
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Anaiga udhalilishaji wa Magufuli.
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Una uhakika amedhalilishwa?
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Akili kisoda
 

Ndio shida mmekubali kuongozwa na zero brains! wakati track records zinajulikana wazi.
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Yaani basi tu. Haya madaraka yanalevya sana!
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

View attachment 2998156
Subiri wewe. Sisi tunataka kujua nini kimefanyika na kamati hilo la kutoa sauti haisikiki hatutaki. Nyinyi ndio wale wa utawala wa sheria mnataka kero zisikilizwe faraghani wakati uongozi wa haki unataka kila kitu kiwe wazi.
 
Back
Top Bottom