Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo pesa akasaidie watoto yatima wapo wengi waliokwama kuendelea na masomo kwa kukosa ada
 
Mm ntakuwa upande wa vyakula 😎
 
Angefanya la maana kama angegharamia harusi nzima, wapo watu wengi kama Lucas hawajafunga ndoa sababu hawana hela, ukumbi ni kitu kidogo sana, hivi kweli unaweza kushawishika kufunga ndoa kwa vile umepata ukumbi wa bure?
 
Ndio maana mara nyingi nachangiaga huku kwamba hizi ofisi za wakuu wa mikoa zifutwe kwani hazina kazi mahsusi zinazofanya.
Wakuu wa mikoa wengi ni wakurupukaji sasa kama huyu ukimuuliza hizo fedha za kugharamia hiyo shughuli zimetengwa kwenye fungu lipi kwenye vote yake sidhani kama atakuwa na jibu.
Ifike mahali hizi ofisi zifutwe kwani hakuna la maana wanalofanya zaidi ya kutumia kodi zetu bila tija
 
Kuna mtu alileta uzi huku kwanini makonda ni mkuu wa mkoa mwenye hela na anaweka waziwazi kuliko wakuu wa mkoa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…