Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Acha kumchafua Mh Rais. Na uwe na adabu kwa Rais.
Adabu mnazo nyie kunguni ; sisi wananchi tunabaki na ukweli kuwa utupu wa Samia ndio neema kwa mafisadi wake!!
Leo hii waziri wa afya Ummy ananunua nyumba ya shilingi billioni moja hapo pwani ya Mbezi beach; hizo hela kazipata wapi kama sio za wizi? Na Takukuru wapo wanasinzia nchi inakuliwa!
 
jamaa anapenda kutrend sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…