Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahivi wanapakuwa kishenziAdabu mnazo nyie kunguni ; sisi wananchi tunabaki na ukweli kuwa utupu wa Samia ndio neema kwa mafisadi wake!!
Leo hii waziri wa afya Ummy ananunua nyumba ya shilingi billioni moja hapo pwani ya Mbezi beach; hizo hela kazipata wapi kama sio za wizi? Na Takukuru wapo wanasinzia nchi inakuliwa!
Asa hapo kosa nini?Uwe na adabu kwa kaka zako dogo.
Sasa nyie ccm mmechanganyikiwa? Mbona mkienda kwenye mambo ya Magufuli yaliyo ya hovyo mnamtenga na huyo "mama yenu" lakini kwenye yale ya kupigiwa mfano mnataka kuwaunganisha?Mimi nimeleta kama ilivyo na kama alivyotamka .na leo sitaki kutia neno lolote lile nasoma tu maoni yenu wasomaji wangu.
Tatizo unaangalia makaratasi ya Mwigulu bila kuangalia kilichofanyika! Maneno ni mengi kuliko vitendo!Hayo maswali Sasa angeulizwa Makonda kwamba hii ni awamu ya 6 Kwa Ilani ipi?
Pili awamu ya 6 hakuna lugha ya wanyonge hiyo ni tofauti mojawapo ambayo Makonda anatakiwa kujua.
Kuhusu miradi anzia hapa π
-Miradi ya Kilimo Cha Umwagiliaji zaidi ya Bil.300 ikiwemo BBT
-Miradi ya Maji ,Mama kumtua ndoo kichwani mwanamke hapa kachapa mamirai ya mabilioni Kila Mkoa ,Wilaya na Vijijini nikiweka orodha nitajaza seva
-Miradi ya Afya , nadhani unakumbuka Mkopo wa COVID 19,tozo za miamala nk ,hapa mama amejenga zaidi ya vituo vya Afya 450 vs 350 vya Mwendazake,hapo sijataja mavitendea kazi
-Ukija kwenye Ajira ndio usiseme ,yule mwingine alikuwa anasingizia Sgr na bwawa π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Kiufupi Mama ni nouma zaidi ndio maana wazee wa legacy mnayumba ππππππππππππ
Yaani, hili nalo linatakiwa kutolewa maelekezo...Ndugu zangu Watanzania,
Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .
Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.
Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Namba ya simu Iko wapi MwashambwaNdugu zangu Watanzania,
Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .
Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.
Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Ndio hivyo limetolewa maelekezo kuanzia leo.Yaani, hili nalo linatakiwa kutolewa maelekezo...
Kuna miradi kedekede ambayo Magufuli hahusiki.
Sasa huyo Makonda anajua hii ni awamu ya ngapi? Anatumikia mabwana wangapi?
Samia fukuza huyu Makonda.
Wote wameonywa na kupewa onyo kali.maana amesema huwezi kuwatenganisha kwa lolote lile.Na vipi kuhusu wale wenye chuki na mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, ambao hawataki kabisa kulitaja jjna la Samia katika mafanikio ya JPM?!!!!
Chawa tulia usikie ukweli, sio Kila mtu anasujudia viongozi majizi.Acha kumchafua Mh Rais. Na uwe na adabu kwa Rais.
Hakuna ukweli mnaozungumza zaidi ya uzushi na uongo kama kawaida yenu.Chawa tulia usikie ukweli, sio Kila mtu anasujudia viongozi majizi.
Unadhani hatuwezi kutofautisha ukweli na porojo zenu machawa? Tulieni nyie majizi.Hakuna ukweli mnaozungumza zaidi ya uzushi na uongo kama kawaida yenu.
Kuna miradi gani mipya iliyoanzishwa awamu ya 6?Kwani Makonda anatumikia mabwana wangapi?
Kwani si Kuna miradi inayoitwa ya Magufuli na miradi ya awamu ya 6 au?
Wewe uko Dunia ya wapi?ππKuna miradi gani mipya iliyoanzishwa awamu ya 6?
Samia anatekeleza mpya?Hayo maswali Sasa angeulizwa Makonda kwamba hii ni awamu ya 6 Kwa Ilani ipi?
Pili awamu ya 6 hakuna lugha ya wanyonge hiyo ni tofauti mojawapo ambayo Makonda anatakiwa kujua.
Kuhusu miradi anzia hapa π
-Miradi ya Kilimo Cha Umwagiliaji zaidi ya Bil.300 ikiwemo BBT
-Miradi ya Maji ,Mama kumtua ndoo kichwani mwanamke hapa kachapa mamirai ya mabilioni Kila Mkoa ,Wilaya na Vijijini nikiweka orodha nitajaza seva
-Miradi ya Afya , nadhani unakumbuka Mkopo wa COVID 19,tozo za miamala nk ,hapa mama amejenga zaidi ya vituo vya Afya 450 vs 350 vya Mwendazake,hapo sijataja mavitendea kazi
-Ukija kwenye Ajira ndio usiseme ,yule mwingine alikuwa anasingizia Sgr na bwawa π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Kiufupi Mama ni nouma zaidi ndio maana wazee wa legacy mnayumba ππππππππππππ