Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Fisi anaetumiwa kwenye usafiri anaitwa nhawa, hawa ni wakubwa na wanaweza kutumwa, kawaida hufugwa na wabibi na hutumiwa kuleta kitoweo kupeleka taarifa au kama usafiri, sikuhizi nhawa wameadimika kwani masharti ya kumtumikisha ni magumu vijana hawayawezi

Necessity yao imepungua. Back in the days yes, but today usafiri uko almost kila kona,mawasiliano yamefika almost kila mahali, mambo kama hayo yatabaki kuwa ni relics
 
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.

Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.

Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.

Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Daaah!!!!!!!!! hii Kali ya mwaka.
 
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.

Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.

Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.

Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Atembelee Gambosh tumzawadie mmoja !!
 
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.

Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.

Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.

Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Kweli wewe ni kambi ya fisi
 
Acha kabisa watanzania wameonyesha kumkubali mno
Watanzania wa wapi! Takwimu zako umeztoa wapi! Wanaccm wakimpenda haina uhusiano na vyama vngne. Pia ujue wana CCM hata wote wakimpenda n chini ya 0.06% ya waTz wte.
 
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.

Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.

Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.

Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.

F--PeDjW0AAjtCl.jpg
 
Back
Top Bottom