Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache , huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe !!.
Huyu Jamaa ziara yake ,Hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata ,maelfu Kwa maelfu.
Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ,ana nyota ya Kupendwa.
Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi ,ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo Wala kusingizia
Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu...
Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.
Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?.
Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
Punguza uzwazwa hasa kwenye mijala ya wanaume wanawake mkae mbaliKUHUSU BEN saa 8 muulizeni GAIDI MBOWE
Utamtafuta lini ili nije nimshikie kipaza sauti wakati wa mahojiano?Sasa hivi tuna mpango wa kumtafute Mzee Bashite atuambie imekuwaje mwana wa kumzaa aitwe Paul Makonda?
HUNA HATA AIBU MTU MZIMA HOVYO!Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache, huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe.
Huyu jamaa ziara yake, hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata, maelfu kwa maelfu.
Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ana nyota ya Kupendwa.
Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi, ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo wala kusingizia.
Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu.
Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.
Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?
Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
Alaaa! Nimependa jinsi ulivoelezea sifa zake hasa Ile ya kuwa hapendi dhuluma. [emoji113][emoji113][emoji113]Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache, huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe.
Huyu jamaa ziara yake, hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata, maelfu kwa maelfu.
Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ana nyota ya Kupendwa.
Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi, ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo wala kusingizia.
Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu.
Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.
Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?
Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
Atakuwa ni msukuma huyo 😁HUNA HATA AIBU MTU MZIMA HOVYO!
Mwenyekiti wenu alimnyonga Chacha WangweHatuwezi kumshauri muuwaji yule atuonyeshe kwanza Ben saa8 Yuko wapi na Azory Gwanda ataonekana lini?
Labda aje kwa ungo huko 😁Tunahitaji kuwa na tawi kubwa la chama tawala kwa diaspora wetu waliopo Marekani. Tunamkaribisha hapa Washington DC katibu wetu wa itikadi aje alete hamasa.
Karibu 🎅
Fisi mnapanda kwenu tu siyo kanda ya ziwa woteUshatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Unamaanisha ni mume na ndio anaemuinngilia mazaako!?Nape ndo nani atiii? January naye ndo nani atiii?
Makonda babalalooo! Makonda kubwa lahooo?