Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache , huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe !!.


Huyu Jamaa ziara yake ,Hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata ,maelfu Kwa maelfu.


Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ,ana nyota ya Kupendwa.

Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi ,ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo Wala kusingizia


Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu...

Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.

Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?.



Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.

Pumbavu kabisa
 
Wilaya ya Magu mkoani Mwanza amepokelewa na maelfu ya watu kwa usafiri wa ngamia amewaambia watendaji wa serikali kuwa makini na pesa za umma kwani chama ndicho kina dhamana ya kuongoza nchi.

Hadi sasa katika hilo amefafanua kwamba kama serikali inaleta fedha kwa ajiri ya miradi halafu miradi haitekelezwi basi chama hakitakuwa tayari kulea watendaji wa namna hiyo mfano mzuri amesema itakuwa ni aibu kwa watendaji wa chama kupita sehemu yoyote kwa kuzomewa kwa sababu ya watu wachache wanaofanya ubadhilifu wa fedha za umma huku miradi ikikwama amejiapiza kwamba watendaji hao yeye hatawavumilia Zaidi ya kuwashitaki kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwa mheshimiwa Raisi ndiye mwenye dhamana kwa sasa ya kuongoza nchi.
 
Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache, huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe.

Huyu jamaa ziara yake, hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata, maelfu kwa maelfu.

Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ana nyota ya Kupendwa.

Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi, ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo wala kusingizia.

Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu.

Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.

Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?

Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
HUNA HATA AIBU MTU MZIMA HOVYO!
 
Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache, huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe.

Huyu jamaa ziara yake, hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata, maelfu kwa maelfu.

Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ana nyota ya Kupendwa.

Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi, ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo wala kusingizia.

Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu.

Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.

Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?

Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
Alaaa! Nimependa jinsi ulivoelezea sifa zake hasa Ile ya kuwa hapendi dhuluma. [emoji113][emoji113][emoji113]
 
Jpm ametifundisha siasa wanazopenda watz!


Watz tunataka mfuatiliaji asie lala !na yeye makonda ametumwa kurudisha imani ya chama kwa wananchi baada ya mama kwenda hiyo Kanda na hakuna hamasa iliyoonyeshwa!!

Watz wanamuona JPM ndani ya makonda!!

Wamechelewa sana kumteua!!
 
Hii ni ile methali isemayo!"Mchawi Mpe Mwanao Amlee!...."
Team Msoga ni wajanja sana!
Wamekwisha piga Pesa za kutosha na kukamilisha yale ma-deal yote yaliyo kuwa yame kwamishwa na Mzalendo JPM!

Ikiwemo Gesi ya LNG, BANDARI na upigaji mwingine wote uliokatiziwa njiani ikiwemo IPTL nk!
Usisahau mfano wa Ufisadi wa kivuko cha MV Magogoni....

Sasa wanakiacha chama chakavu kwa wananchi kupitia ulaghai wa Paul Makonda ili wapambane wenyewe kukisafisha kuelekea 2025!

Makonda ametumika kama mbeleko ya kuwaita Pro-Magufuli waliokwisha jitenga na CCM- Kinana na Nape Nnauye kwa Remote ya Msoga na Bumbuli.
 
Sasa kama mwenye mji hajulikanialipo kwanini makondrahh asiwe maarufu😂😂😂msiwape uongozi wazee wastaafu,miaka sabini,na kashkash za uongozi wapi na wapi🤣🤣🤣
 
Mda mwingine msijizime DATA.
Hayo yooooote sawa,lakini ni watendaji WA Serikali ipi haswa!.
Hayo yote matatizo,ni mazao ya uongozi wa CCM tangia miaka hiyo.
Subirini siku ikitoka madarakani ndo mtajua hamjui.
Msijifanye kana kwamba ni maajabu.
Afu mtu kumsifia kiongozi wa CCM tunamwona Kama mwendawazimu tu kiufupi.
 
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.

Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.

Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.

Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Fisi mnapanda kwenu tu siyo kanda ya ziwa wote
 
Back
Top Bottom