Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Fisi anaetumiwa kwenye usafiri anaitwa nhawa, hawa ni wakubwa na wanaweza kutumwa, kawaida hufugwa na wabibi na hutumiwa kuleta kitoweo kupeleka taarifa au kama usafiri, sikuhizi nhawa wameadimika kwani masharti ya kumtumikisha ni magumu vijana hawayawezi
Ukiambiwa uthitishe utabaki kusema nasikia wanasema.Mimi nitoe kwenye hilo kundi la Watanzania wanaompenda Makonda
Yule jamaa enzi za jiwe kafanya mambo ya kipuuzi sana, kwa nchi za wenzetu alitakiwa sasa hivi awe ngome
Sina hakika mkuuHivi hilo zuio halijawa expired kweli?
Kalieni hayo hayo halafu 2025 mseme mmeibiwa Kura.Wanapenda msambwanda wake
Mkiambiwa ukweli mnaita watu chawaπChawa
Daaah!!!!!!!!! hii Kali ya mwaka.Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Atembelee Gambosh tumzawadie mmoja !!Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Fisi jike ndio huwa linakichaa zaidi kuliko dume, usimshauri apande kike atapotea poriniHahahhaaha kambi ya fisi
Labda upande fisi jike dume litamparua.
Tukio la kuvamia clouds mbona lilikuwa waziUkiambiwa uthitishe utabaki kusema nasikia wanasema.
Kweli wewe ni kambi ya fisiUshatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Watanzania wa wapi! Takwimu zako umeztoa wapi! Wanaccm wakimpenda haina uhusiano na vyama vngne. Pia ujue wana CCM hata wote wakimpenda n chini ya 0.06% ya waTz wte.Acha kabisa watanzania wameonyesha kumkubali mno
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Hapo anapokwenda kutua sasa π π
Hapo anapokwenda kutua sasa π π