Makonda: Nimechoka kufanya mikutano peke yangu! Watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi?

Makonda: Nimechoka kufanya mikutano peke yangu! Watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi?

Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!

Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?

Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.

L
Kama amechoka kufanya siasa basi amuombe aliyemteua apumzike.
 
Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!

Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?

Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.

L
Unaa wa kiwango cha sgr🤣
 
Usichanganye kupoteana na kupuuza siasa za kishenzi. Wanachofanya ccm Sasa hivi ni kama wako disco la watu wa jinsia moja, hata zipigwe Ngoma Kali vipi, halinogi maana hakuna wa kumkumbatia. Kizazi kimechoka hilo chama la mazee.
Wapinzani wanacho mfanyia Makonda na CCM yake ni kufuata ile kanuni ya;
NEVER ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE .
Sasa hivi kweli Msigwa au Lissu apande jukwaani na kupingana hoja na Makonda si ni kujifedhehesha? Maana watu watawajadili pamoja na wapo watakao kosa kujua tofauti zao kuwa nani mjinga.
Makonda aingie tuu front aendelee kudanganya wajinga wenzie kuwa matatizo ya umeme ni kwa vile Tanesco iko chini ya Chadema, uhaba wa fedha za kigeni ni vita ya Hamas na ukosefu wa ajira ni Mungu kasema tusubiri kwanza.
Na uhakika yale mazuzu ya CCM yatamshangilia na waandishi makanjanja wataandika MAKONDA ATATUA KERO.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!

Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?

Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.

L
Makonda afanye ziara ya kustukiza Tenesco.
 
Makonda pigilia msumari hapo hapo Watoa taarifa wamepoteana 😂😂

Weka taarifa mezani

Hivi aliyepotea ni nani?. CCM au upinzani? Makonda angekijitika kwenye mafanikio ya CCM na changamoto zake. Maana hawezi kujitenga na failures za serikali.

Atoe maelezo ya mfumuko wa Bei, mishahara kwa mafungu, Deni la nje, serikali kuto kulipa madeni ya ndani, kupanda kwa nauli etc. Akianza kutafuta kushindana na upinzani hataweza kabisa ataangukia pua.
 
Watoa taarifa mumepoteana

Hamna mgombea

Hamna Sera

Hamna lugha Moja

Dj kawapiga Cha Juu kwenye mgao wa asali 😁😁😁😁

Hivi Tume ya uchaguzi NEC wameshatangaza tarehe ya kampeni?. Maana unadai hawana mgombea. Be serious kidogo. Nyie mmevunja sheria kwa kuanza kampeni mapema na mnataka wengine waige huo ujinga.
 
Utendaji ni relative, unafuata kanuni za relativity, wakati mmoja anaona utendaji mbovu, mwingine anaona utendaji uliotukuka wenye 4R!. Ni kama tuu ganda la mua la jana...
P

..naamini Ssh haelewi wala haamini falsafa yake mwenyewe ya 4R.

..kwa maoni yangu 4R ilikuwa ni furahisha genge tu, na Ssh na wasaidizi wake hawakuwa nia ya kutekeleza.
 
Wamempiga chenga ya mwili, alitegemea watakua bize kuzozana nae wajumbe watu wabaya wamemlia ganzi kaishia kufanya drama zisizo na tija

Kweli mkuu, wamemfanyia mbaya. Amezunguka mikoa ya Kanda ya Ziwa akifikiria ameufuta upinzani kumbe hakuna kitu. Sasa amebakia kujigamba anafanya mikutano pekee yake.
 
Back
Top Bottom