Makonda: Nimechoka kufanya mikutano peke yangu! Watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi?

Makonda: Nimechoka kufanya mikutano peke yangu! Watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi?

Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!

Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?

Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.

L
Mitaani kwetu enzi hizo ilikua mwizi akikurupushwa watu wanaanza kumkimbiza na kumpigia kelele za mwizi, akipigiwa kelele hizo mwizi hupata matumaini ya maisha yake kuokolewa. Maana kati ya wakimbizaji watajitokeza makatili, pia wana usalama na hata viongozi wa mtaa. Hapo lazima asalimike.
Siku moja aliibuka mwizi watu wakaanza kumkimbiza kimyakimya, hakuna filimbi wala kelele za mwizi.

Kuona anakimbizwa kimyakimya mwizi akachanganyikiwa, akikatisha uchochoro watu wananong'onezana, kapita hapa, mkatishieni kwa pale mbele...kwa kifupi ingekua ni miaka hii basi tungesema wanamkimbiza kwa kutumia 'whatsapp group'.
Mwizi alipoona ukimwa wa wale watu ikabidi aanze kujipigia kelele mwenyewe na badala kukimbilia vichochoroni akaanza kuelekea eneo lenye watu wengi huku akioiga kelele "Jamani mimi ni mwizi, nimeiba lakini hawa wanakimbiza kimyakimya". Watu wakamshika na kumuuliza kulikoni, hapo wale wanaomkimbiza wakawa wameshafika, wakawa wanamchukua, jamaa anakataa, wasikubali wamchukue. Wale jamaa wakasema huyu wala siyo mwizi ni ndugu yetu huyu sema amepata matatizo ya akik8 ndiyo tunamkimbiza tumkamate tumpeleke hospitali.
Sitamalizia ilivyoishia sababu si lengo la mimi kusimulia.
Nikionacho hapa huyo Makonda ameshikwa na hofu kama yule mwizi.
 
Hivi wanaume kukaliana hivi inaashiria nini?
JamiiForums-1048308597.jpg
 
Wana Imani na ccm Sasa ulitaka waje kwa Machadema wasio na ajenda Ili iwaje?

Ccm Ina Wanachama zaidi ya mil.15 hao sio Wananchi? 😁😁
15m kwenye register, lakini hakuna uwezakano ww ccm kuwa na wanachama hai Zaidi ya 3m. Kuna siku Msando wakati wa Magufuli akiwa ameenda kuunga juhudi alisema hiyo figure ya 10m sio ya kweli. Naona ccm waliokuwa kwenye mkutano ule walimjia juu vibaya sana kwa kuweka ukweli hadharani.
 
15m kwenye register, lakini hakuna uwezakano ww ccm kuwa na wanachama hai Zaidi ya 3m. Kuna siku Msando wakati wa Magufuli akiwa ameenda kuunga juhudi alisema hiyo figure ya 10m sio ya kweli. Naona ccm waliokuwa kwenye mkutano ule walimjia juu vibaya sana kwa kuweka ukweli hadharani.
Tupe ukweli wako
 
CDM hawana impact yoyote kwenye siasa za sasa. CCM haikosi usingizi kbs

CDM haina impact?. Hauoni walichomfanyisha Makonda?. Wamemuacha mwenyewe ajinyonge kwa kamba yake. Maana alianza kwa spidi Kali akitegemea wapinzani wangeanza mashindano ili imbebe, wakamuacha na mbio zake za sakafuni. Kabaki kulia tu Sasa hivi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila kweli hawa jamaa!
.
Lisu karudi
Lema karudi

Lakini wako kimya kama maji kwenye mtungi.

Ccm wajanja sana! Wamewapa uhuru wa kufanya yote waliyosema wananyimwa kufanya alafu wao wenyewe wameufyata

Mbona mikutano wanafanya sana. Jumapili iliyopita Lissu alikuwa ana mkutano Tabata. Au ulitaka mikutano yote wake wakutangazie.
 
Upinzani chali Cha Mende ,mkigeuka nyuma Kuna Chipukizi mkiangalia Mbele kuna Makonda 🔥🔥

Wakati mnazunguka mikoani na kuwaambia wafuasi wenu kwamba 2025 mtashika Dola Tume ilikuwa imetangaza tarehe ya kampeni? Dalili z kuchanganyikiwa 😂😂

Chipukizi ndio akina nani? Hawa watoto wa Mwigulu?. Sasa hao Wana msaada gani?. Halafu Usipende kudanganya hakuna siku CHADEMA imetangaza kuwa itashiriki uchaguzi wa 2025 uaiongope.

Halafu Makonda ana ushawishi gani zaidi ya kubebwa na Magufuli?. Si ni huyu UVCCM alipigwa Chini, ubunge akapigwa Chini Tena live kwenye TV. Sasa huyu political failure ndio wakumzungumzia?. Be serious.
 
Upinzani chali Cha Mende ,mkigeuka nyuma Kuna Chipukizi mkiangalia Mbele kuna Makonda 🔥🔥

Wakati mnazunguka mikoani na kuwaambia wafuasi wenu kwamba 2025 mtashika Dola Tume ilikuwa imetangaza tarehe ya kampeni? Dalili z kuchanganyikiwa 😂😂

Halafu pia naomba ukamwambie Makonda CCM inadaiwa na DCB Commercial Bank, wakalipe Deni waaache uzurumati.
 
Nyie chadomo ndio mumechoka au Makonda? Subiria kampeni back to back Mikoa 6 kuwaka moto.

Watoa taarifa zitoeni mapema Ili Makonda aje kuzifanyia kazi

Kampeni za Nini kama sio uoga?. Tume ya kwako, Bunge la kwako, Halmashauri za kwako, Serikali ya kwako, lakini bado unahangaika na kampeni za mapema. Kisa uoga na kutojiamini.

CHADEMA wasiokuwa na mamlaka yeyote wametulia. CCM inahangaika kujipitisha kwa watu bila kuitwa.
 
Wana Imani na ccm Sasa ulitaka waje kwa Machadema wasio na ajenda Ili iwaje?

Ccm Ina Wanachama zaidi ya mil.15 hao sio Wananchi? 😁😁

Milioni kumi na tano uliwahi kuwaona?. Mnatumia data ya tangu 1977 mpaka Leo ya kuamini kuwa kila raia ni mwanachama wa CCM.
 
Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!

Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?

Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.

L
Badala ya kuuliza Chingolo yuko wapi unauliza wapinzani wako wapi?
Kwani TANESCO ni upinzani pia?
Uliza walipandisha nauli kwa karibu asilimia mia moja wako wapi ndio kidogo utaeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitaani kwetu enzi hizo ilikua mwizi akikurupushwa watu wanaanza kumkimbiza na kumpigia kelele za mwizi, akipigiwa kelele hizo mwizi hupata matumaini ya maisha yake kuokolewa. Maana kati ya wakimbizaji watajitokeza makatili, pia wana usalama na hata viongozi wa mtaa. Hapo lazima asalimike.
Siku moja aliibuka mwizi watu wakaanza kumkimbiza kimyakimya, hakuna filimbi wala kelele za mwizi.

Kuona anakimbizwa kimyakimya mwizi akachanganyikiwa, akikatisha uchochoro watu wananong'onezana, kapita hapa, mkatishieni kwa pale mbele...kwa kifupi ingekua ni miaka hii basi tungesema wanamkimbiza kwa kutumia 'whatsapp group'.
Mwizi alipoona ukimwa wa wale watu ikabidi aanze kujipigia kelele mwenyewe na badala kukimbilia vichochoroni akaanza kuelekea eneo lenye watu wengi huku akioiga kelele "Jamani mimi ni mwizi, nimeiba lakini hawa wanakimbiza kimyakimya". Watu wakamshika na kumuuliza kulikoni, hapo wale wanaomkimbiza wakawa wameshafika, wakawa wanamchukua, jamaa anakataa, wasikubali wamchukue. Wale jamaa wakasema huyu wala siyo mwizi ni ndugu yetu huyu sema amepata matatizo ya akik8 ndiyo tunamkimbiza tumkamate tumpeleke hospitali.
Sitamalizia ilivyoishia sababu si lengo la mimi kusimulia.
Nikionacho hapa huyo Makonda ameshikwa na hofu kama yule mwizi.

Safi Sana kwa mfano hai.
 
Mimi ni mpinzani wa CCM lakini bado sina na sijaona chama cha upinzani Tanzania cha kupambana perpendicular na FISIEMU
 
Wajitokeze washindanishe hoja bwana ili wananchi tupate nafasi ya kuzichambua na kufanya maamuzi sahihi. Ana hoja, asikilizwe.
Maamuzi sahihi kuhusu nini?

CCM huwa ikiona maoni kama haya huwa inafurahi sana. Maana wanapata ithibati kuwa kumbe ujinga wa kialaki bado umetamalaki.
 
CDM haina impact?. Hauoni walichomfanyisha Makonda?. Wamemuacha mwenyewe ajinyonge kwa kamba yake. Maana alianza kwa spidi Kali akitegemea wapinzani wangeanza mashindano ili imbebe, wakamuacha na mbio zake za sakafuni. Kabaki kulia tu Sasa hivi.
Makonda hagusiki, CDM mpk mfanye usajili mpya. Hao wa zamani hawamwezi Makonda
 
Back
Top Bottom