Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako iko kwenye ma...lioMbowe KANOGEWA NA BUYU LA ASALI
Anajilimbwasa na kujisonsomola.
🤣🤣Mkuu hiki ni kinyamwezi au 😄 🤣 😂
Ashindane na wao watoa taarifaCcm yao
Serikali yao
Ufisadi wao
Maisha magumu chanzo wao
Malalamiko ya wananchi aliyeyasababisha wao
Sasa anataka ashindane na nani
Hamna Mtu pale zero brain kbsKweli mkuu, wamemfanyia mbaya. Amezunguka mikoa ya Kanda ya Ziwa akifikiria ameufuta upinzani kumbe hakuna kitu. Sasa amebakia kujigamba anafanya mikutano pekee yake.
Taarifa si siku zote wanazipinga hadi muda mwingine kuwakamata watoa taarifa? Kwani si wanamiliki vyombo vya usalama na upelelezi ama havifanyi kazi?Ashindane na wao watoa taarifa
Tuambie kwanza Ben Saanane ulimpeleka wapi? na kuna tuhuma uliongoza genge la kummiminia risasi Lissu - Jibu tuhuma hizo ili uwe huru.Katibu wa itikadi na Uenezi CCM bwana Paul Makonda amesema tangu ameanza kufanya mikutano ya kisiasa na kwenda kwa wananchi hawaoni watoa taarifa wakifanya mikutano!
Anasema amechoka kufanya mikutano peke yake anauliza eti watoa taarifa wanafanyia mikutano wapi? Mbona wanamuacha anatamba peke yake?
Anasema watoa taarifa kama wamekwama popote na kushindwa kufanya mikutano waseme wasaidiwe.
L
Hivi Tume ya uchaguzi NEC wameshatangaza tarehe ya kampeni?. Maana unadai hawana mgombea. Be serious kidogo. Nyie mmevunja sheria kwa kuanza kampeni mapema na mnataka wengine waige huo ujinga.
Upinzani chali Cha Mende ,mkigeuka nyuma Kuna Chipukizi mkiangalia Mbele kuna Makonda 🔥🔥Hivi aliyepotea ni nani?. CCM au upinzani? Makonda angekijitika kwenye mafanikio ya CCM na changamoto zake. Maana hawezi kujitenga na failures za serikali.
Atoe maelezo ya mfumuko wa Bei, mishahara kwa mafungu, Deni la nje, serikali kuto kulipa madeni ya ndani, kupanda kwa nauli etc. Akianza kutafuta kushindana na upinzani hataweza kabisa ataangukia pua.
Nyie chadomo ndio mumechoka au Makonda? Subiria kampeni back to back Mikoa 6 kuwaka moto.Kashajichokea......mikutano mitano tu chaliii......aliingia Mjini kwa Pupa
Wana Imani na ccm Sasa ulitaka waje kwa Machadema wasio na ajenda Ili iwaje?Stukeni nyie, zama za siasa za kishamba zimeshapita. Wananchi tunawaona wapuuzi tu. Waulize wale waliokuwa na daftari la wapiga kura la majaribio walipoenda kama walipata mtu wa kuja kupoteza muda wake. Na kama huamini ngoja uone kwenye chaguzi zijazo, watajitokeza wanaccm wachache tu, ambao nao wataona ni kupoteza muda kushiriki zoezi lisilo na mvuto. Hapo ndio mtajua kizazi kimeshabadilika. Machafuko au mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko dhidi ya hilo chama lenu la majizi.
Akienda pale atatoa siku 7 mgao kumalizwa 😀Anavyo penda kiki angeenda nadhani wamempiga pini. Na hata akienda itakuwa anamu undermine Biteko.
Makonda kaja juzi tu sisi tumepiga Anga kwa miezi kadhaa mfululizo yeye wili.tu chalii.Nyie chadomo ndio mumechoka au Makonda? Subiria kampeni back to back Mikoa 6 kuwaka moto.
Watoa taarifa zitoeni mapema Ili Makonda aje kuzifanyia kazi