Mkuu unaeleweka vizuri sana tatizo wachangiaji wengi wanatoa maoni kwa sababu ya chuki walizonazo kwa makonda anachokizungumza makonda kipo sahihi.Chongolo ni mtendaji mkuu wa Chama
Makonda ni msemaji wa chama
Sekretarieti inayotaka report ni ya Chama cha Mapinduzi sio ya Makonda
Means umkuti keagan wala Mama keagan
Anachotamka ni maelekezo ya kutoka ktk chama yeye ndio msemaji na Chongolo ni Mwenyekiti wa sekretarieti
Mawaziri wanatakiwa kupeleka report huko sio nyumbani kwa Makonda
Jaribu kuelewa na kukubali kuwa chama kinaelekeza kupitia vikao anapewa msemaji (mwenezi)
Hicho anachokizungumza unataka kusema amekitoa wapi? Kichwani? Hayo uliyataja hapo kipi makonda hajakifuata! ?Hivi Samia alilewa wakati analipeleka jina la huyu lofa?Baadhi ya kazi ya Mwenezi moja ni kutoa taarifa ya yaliyojiri ndani ya vikao vya chama, lingine kueneza sera, imani, ilani na itikadi ya chama. sasa hili fala linampa maagizo mpaka waziri mkuu, km siyo kichaa au pumbavu lisilobadilika ni nini. Ndio maana vijana wengi wasomi wataendelea kuidharau CCM, hata nje ya nchi tutadharauliwa.
Ahsante Mungu akubariki, sasa angalia mambo anayoyafanya lofa. Huyu ataharibu mazuri yote ya mama, ataharibu hata mahusiano yetu na nchi za nje. Huyu mtu km siyo nguvu ya giza inamsumbua basi ni jinga lisiloelezeka. Angalia mapokezi linalofanyiwa, kweli Makonda ni zuzu.anashughullikia maswala ya msingi ya itikadi na sera ZA chama 😂
View attachment 2800292
Ulikamatwa ??Kwa taarifa yako zote zilipata mafanikio makubwa sana
WamepatikanaYani Makonda Kawa Katibu Mkuu, Mwenyekiti nk. Hakuna discipline yeyote.
Huyu bato yake na Nape bado mbichi lazima atamg'owa bila ganziView attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .
Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
[emoji3]Nape jiandae kwaataarifa ya miezi miwili kabisaa,ili robo mwaka uwe na taarifa mbili
[emoji3]Nape jiandae kwaataarifa ya miezi miwili kabisaa,ili robo mwaka uwe na taarifa mbili
Kumbuka mawaziri wale Wana kofia mbili chamani na serikalini ...Kwa hiyo, sasa hivi Makonda ni boss wa Mawaziri wote! Lazima wawajibike kwake!!
Hakuna kenge wa kukiroga chuma!Atulie sasa wasije wakamroga wakamuongeza makalio bure
Mkuu mimi sioni sababu ya kubishania maneno au kauli za Makonda ni kujichosha tu ameagizwa na Chama chake mpaka sasa hivi hakuna kanusho la chama chake TUNAPATA MASHAKA YA NINI SASA??Mkuu unaeleweka vizuri sana tatizo wachangiaji wengi wanatoa maoni kwa sababu ya chuki walizonazo kwa makonda anachokizungumza makonda kipo sahihi.
Tena kabisa ...bato yake na Nape bado ipo...anamvizia ili amung'owe bila ganziNi suala la muda. Just tune your mind for the next big thang to happen. Boomerang now is back .
😂😂 huyu ni rais mwenza.Naibu wa Naibu wa Waziri Mkuu