Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Chongolo ni mtendaji mkuu wa Chama
Makonda ni msemaji wa chama


Sekretarieti inayotaka report ni ya Chama cha Mapinduzi sio ya Makonda
Means umkuti keagan wala Mama keagan

Anachotamka ni maelekezo ya kutoka ktk chama yeye ndio msemaji na Chongolo ni Mwenyekiti wa sekretarieti

Mawaziri wanatakiwa kupeleka report huko sio nyumbani kwa Makonda
Jaribu kuelewa na kukubali kuwa chama kinaelekeza kupitia vikao anapewa msemaji (mwenezi)
Mkuu unaeleweka vizuri sana tatizo wachangiaji wengi wanatoa maoni kwa sababu ya chuki walizonazo kwa makonda anachokizungumza makonda kipo sahihi.
 
Hivi Samia alilewa wakati analipeleka jina la huyu lofa?Baadhi ya kazi ya Mwenezi moja ni kutoa taarifa ya yaliyojiri ndani ya vikao vya chama, lingine kueneza sera, imani, ilani na itikadi ya chama. sasa hili fala linampa maagizo mpaka waziri mkuu, km siyo kichaa au pumbavu lisilobadilika ni nini. Ndio maana vijana wengi wasomi wataendelea kuidharau CCM, hata nje ya nchi tutadharauliwa.
Hicho anachokizungumza unataka kusema amekitoa wapi? Kichwani? Hayo uliyataja hapo kipi makonda hajakifuata! ?

Wewe ni CCM? CCM inautaratibu wake haiendeshwi kienyeji hadi unaona kasema hayo ujue Chama kimemtuma otherwise katibu mkuu atoke hadharani aseme sijamtuma
 
anashughullikia maswala ya msingi ya itikadi na sera ZA chama 😂
View attachment 2800292
Ahsante Mungu akubariki, sasa angalia mambo anayoyafanya lofa. Huyu ataharibu mazuri yote ya mama, ataharibu hata mahusiano yetu na nchi za nje. Huyu mtu km siyo nguvu ya giza inamsumbua basi ni jinga lisiloelezeka. Angalia mapokezi linalofanyiwa, kweli Makonda ni zuzu.
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
Huyu bato yake na Nape bado mbichi lazima atamg'owa bila ganzi
 
Makomba safi sana,kilichobaki sasa atoe maagizo mikopo yote iwe inapitia CCM waangalie kama inakuja kutekeleza ilani ya uchaguzi.Kwa maana nyingine CCM iingie jikoni kabisa kutekeleza miradi badala ya Serikali (badala ya hands off, eyes on,iwe hands on, eyes on)
 
Kwa hiyo, sasa hivi Makonda ni boss wa Mawaziri wote! Lazima wawajibike kwake!!
Kumbuka mawaziri wale Wana kofia mbili chamani na serikalini ...
Kwenye chama yes yeye ni bosi kwao Ila serikalini Hana mamlaka ndiyo maana ameweka bayana wawasilishe taarifa kwenye Secretariat ya chama
 
Mkuu unaeleweka vizuri sana tatizo wachangiaji wengi wanatoa maoni kwa sababu ya chuki walizonazo kwa makonda anachokizungumza makonda kipo sahihi.
Mkuu mimi sioni sababu ya kubishania maneno au kauli za Makonda ni kujichosha tu ameagizwa na Chama chake mpaka sasa hivi hakuna kanusho la chama chake TUNAPATA MASHAKA YA NINI SASA??

Anayeongea ni Mwenezi wa Ccm Wanaolekezwa kupeleka report ni mawaziri wanaotokana na Ccm (ubunge) report wapelekeke ktk vikao vyao vya Chama (sekretarieti)

Kesho makonda akija kutangaza marudio ya uchaguzi jimbo flani, or majina ya watia Nia mybe ubunge or wenyeviti wa halmshauri ITAKUWA NI AJENDA PIA YA KUIJADILI?

Mwenezi anakuja kuongea yale ya ndani waliyokubaliana or kuelekezwa
Hayo maazimo ni ya chama chake sio ya kwake
Ifike muda watu wakuabali huyo ndio katibu Mwenezi wa Chama cha mapinduzi
 
Back
Top Bottom