Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nape jiandae kwaataarifa ya miezi miwili kabisaa,ili robo mwaka uwe na taarifa mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nape jiandae kwaataarifa ya miezi miwili kabisaa,ili robo mwaka uwe na taarifa mbili
Wewe ndo hujui kiutaratibu mawaziri au serikali ni sawa na muuzaj duka. Mmiliki wa duka ni CCM. Kutoa taarifa ni uenezi wa siasa na propaganda.nishasema hapa duniani hakuna binadamu mwenye akili ndogo km huyu bwana. Hajui hata majukumu yake, ni km comedian flani. Atamharibia mama...
@FaizaFoxy ana majawabu na ufafanuzi wa kina.Hii ni nafasi mpya au? Hakujawahi kuwepo Mwenezi kabla?
Sema Boss wake Chongolo anasemaje, tanguliza na cheo maana DAB kwa Chongolo kawa bwana mdogo tuChongolo anasemaje
Nchi ngumu sana hii. Hivi kuna nchi yenye vituko kuliko Tanzania? Haki ya nani. kama tungekuwa na wacheza sinema na watunzi wazuri, basi tungeoongoza kwa comedy duniani.
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema....
Hivi huyu bingwa na makamu mwenyekiti wake wapi?Chongolo anasemaje
Huu sasa ndo utalii wa ndani ulioshiba
Wamepigwa ganziHivi huyu bingwa na makamu mwenyekiti wake wapi?
Huyu wa sasa kaja kivyake, tusubiri huenda hajapewa JD yakeHuyu Mh ni shida sijawahi kuona Mwenezi anawakalia kichwani Mawaziri.
Ni vizuri sana ili kila mtu aone umuhimu wa katiba nzuri. Kuna watu walikuwa wameshajisahau wakidhani wanakula maisha sasaHuyu Mh ni shida sijawahi kuona Mwenezi anawakalia kichwani Mawaziri.
Mara awe Majaliwa, mara awe Chongolo, mara awe Zuhura, mara awe Kinana bado sijamuona akiwa Makondanishasema hapa duniani hakuna binadamu mwenye akili ndogo km huyu bwana. Hajui hata majukumu yake
Watanzania ukitaka kuwaficha jambo liweke kwenye maandishi tu,wengi wanabwabwaja tu lakini hawajui ata majukumu ya Katibu Mwenezi wanadhani ni sawa na Afisa habari wa Yanga au Simba kumbe ni miongoni mwa vigogo wa CCM kwenye rank za maamuzi.Mtu anaingia mpaka kamati kuu,sasa huyo ni mtu mdogo!!Kama mpend maendeleo na wala sio kiushabik wala kushikiw akil na kina maranja.
Hivi utakua unaeneze kitu usichokijua kimetekelezwaje? Wote humu wasomi
Je, huwa hamtoi report? Na kwanin wat wanakaa kubisha bisha tu hata vitu vya logically, report imeombwa ifike sekretariet ambayo kimisng inapaswa ijue manifesto yao. Wananchi waliyoichagua imetekelezwa?
Ndio imetekelezwa kwa kasi kubwa ndio mana hata kwa mtogole sasa kuna lami.lakin hata mtu mwingine angekua mwenez atasimama vipi kuinad ilan asiyojua utekelezaj wake upo asilimia ngap?
Wap pamekwama, wap pamefanikiwa wap hivi wap vile. Mim nilidhani tulipaswa kusisimkwa mana wewe mwamanch unawez kuisoma ilan ukajua kumbe mahali fula ukurasa fulan kuna kitu na hakijafanywa ukapaza saut huon kama ungefaulu? Kila anayefanya kaz yupo anamuwakilisha amiri jesh kuitekeleza ilan.
Iwe Walimu iwe wap wote mnatekeleza ilan. Na sikusikia mahali muenez kaomba report iende kwake bali nimekaa nikasikia iende secretariat.
How can the man with questionable academic background be given a hem of hope? This man has weak mind that's why he always attacks people.. He’s not that weak come ooooon!!
Hili linafinyika Kila robo mwaka, hana uelewa huo?Safi sana
Huyu Dogo atafaa sana Uwaziri mkubwa 2025 😂😂