Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Shida kizazi cha SAsa hakina elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya ndoa.
Dini na mila ziliposema no sex before marriage waliyaona haya. Shida ya wanadamu ni kujifanya wajuaji kuliko mafundisho ya dini. Mungu alipoweka asili ya kitu alijua maana yake KWA faida ya wanadamu.
Ukifanya ngono na mtu mnaunganisha nafsi, ukiungana nafsi na mtu mnakua mateja wa mapenzi. Mkiwa mateja huwezi ona tabia mbaya za mtu na hata ukiambiwa utawaita wanafiki wanawaonea wivu, uteja unaisha kwenye ndoa ndani ya miezi 3 au 6 unamuona wa kawaida ndipo unaziona tabia, unabakia niliambiwa kifuatacho ni majuto na talaka. Watu wanaoa kwa mapenzi na sio upendo wameacha kanuni za asili za kuoana. Huwezi kwepa asili ukabaki salama.
Unaongelea asili huku ukijiziba macho, bila kutambua kuwa dini sio asili.
 
Tatizo ni sheria ya ndoa, ukitaka kutumia mfumo dume basi jiandae kupambana na sheria ya ndoa inayompa haki zote mwanamke! Dr. Mwaka amejaribu ku-apply kidogo mfumo dume kwenye sakata lake, nadhani unaona anavyosakamwa!
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kumuendesha mwanaume...#KATAANDOA
Hiyo haiharamishi watu kutoowa dini zinaruhusu wanandoa wakishindwana waachane kwa utaratibu uliyo sahihi
 
Nitaoa ila tukishindwana kabisa kabisa nitaacha halafu nitaoa tena na tena.

Nachojaribunl kulinda ni afya yangu ya akili tu.

Maana hata usingo unaweza kutetereka kiakili
Oa mkuu ila usifunge ndoa ,kataa ndoa kama ukiwa na ndoa ata nguvu ya kuoa tena hautakuwa nayo tena,pale atakapoiteteresha afya yako ya akili.
 
Ndo muurudishe huo mfumo dume..mnashindwaje kuwacontrol wanawake zenu? Hao wanaowaambia wanasumbuliwa na wake zao kuna mahala wameharibu toka mwanzo thats why wameshindwa kucontrol na kuwa na power over them...mwanaume ni kichwa na hivyo inapaswa kuwa..
Hii kitu inatakiwa ianzie kwenye sheria za ndoa ,ukirudisha bila sheria kubadilishwa utajikuta unalia mahakamani kama jike , japo ulijifanya dume huku hauna cha kusimamimia.
 
Ndoa si kwasababu ya sex,ndoa ni kwasababu ya kujenga familia iliyo bora
Dini hairuhusu kuishi na mwanamke bila ndoa

Ndoa ni kutii maamrisho ya Mungu.
Dini ipi hiyo unayoizungumzia!? Kuna dini nyingi sana duniani.
 
Wazee walimudu ndoa kwa vile walitumia Mfumo Dume...

Hiki kizazi cha hawa wanawake ma feminists, , ma super woman, wanao taka haki sawa na "Fifty Fifty" watasubiri sana.....
Kama yule mke wa Dokta mwaka, yaani analazimisha talaka ili tu mahakama impe nyumba na mali zingine, anajua kiasi gani yule Dokta mwaka amesota kupata hiyo nyumba?! Mbona yeye hakujenga yake wakati wapo kwenye ndoa hadi avizie ya mwenzie? Sheria na mfumo jike unasababisha ndoa za sasa zisihimilike; kiukweli mimi nitaendelea kuzaa na kulea tu watoto wangu kwa upendo wote kabisa, ila ndoa hapana! KATAA NDOA! Ona yuke malaya Klynn anavyotesa familia ya Dokta Mengi R.I.P, kisa eti alifunga ndoa!
 
Kama yule mke wa Dokta mwaka, yaani analazimisha talaka ili tu mahakama impe nyumba na mali zingine, anajua kiasi gani yule Dokta mwaka amesota kupata hiyo nyumba?! Mbona yeye hakujenga yake wakati wapo kwenye ndoa hadi avizie ya mwenzie? Sheria na mfumo jike unasababisha ndoa za sasa zisihimilike; kiukweli mimi nitaendelea kuzaa na kulea tu watoto wangu kwa upendo wote kabisa, ila ndoa hapana! KATAA NDOA! Ona yuke malaya Klynn anavyotesa familia ya Dokta Mengi R.I.P, kisa eti alifunga ndoa!
[emoji23][emoji23][emoji23] Ndoa imekaa kitapeli tapeli...

Mwanaume unatungiwa sheria za kutapeliwa kabisa na kupokonywa mali zako....
 
Nina marafiki wengi waliooa, naona na kusikia majuto yao. Nimesuluhisha sana migogoro ya ndoa na kujifunza mengi kupitia migogoro hiyo. Pamoja na yote ninekuwekea mifano michache ya watu maarufu wanaohangaika na ndoa zao kipindi hiki (Dr. Mwaka, Manara) na wewe nipe mifano ya watu wanaojuta kutooa.
Nje ya ndoa kuna uhuru, Sex (ngono) pia inapatikana kama kawaida, watoto unapata bila ndoa na zaidi unaepuka stress zisizo na ulazima.
Ndoa ni kichaka cha wanawake kuwanyonya na kuwavuruga wanaume.
#KATAANDOA
Watoto unapatawa kutosha, la muhimu sana hilo
 
Kama yule mke wa Dokta mwaka, yaani analazimisha talaka ili tu mahakama impe nyumba na mali zingine, anajua kiasi gani yule Dokta mwaka amesota kupata hiyo nyumba?! Mbona yeye hakujenga yake wakati wapo kwenye ndoa hadi avizie ya mwenzie? Sheria na mfumo jike unasababisha ndoa za sasa zisihimilike; kiukweli mimi nitaendelea kuzaa na kulea tu watoto wangu kwa upendo wote kabisa, ila ndoa hapana! KATAA NDOA! Ona yuke malaya Klynn anavyotesa familia ya Dokta Mengi R.I.P, kisa eti alifunga ndoa!
Dah mkuu kumbe tulisahau kumjumlisha na lile kahaba la mengi , mengi alikua na uwezo wakuishi yae bila ndoa , ila alipofunga tu ndoa ameletea familia yake shida . Kataa ndoa mkuu ila kama hauna mpngo wa kutafuta pesa kubali ndoa kimkakati.
 
Nina marafiki wengi waliooa, naona na kusikia majuto yao. Nimesuluhisha sana migogoro ya ndoa na kujifunza mengi kupitia migogoro hiyo. Pamoja na yote ninekuwekea mifano michache ya watu maarufu wanaohangaika na ndoa zao kipindi hiki (Dr. Mwaka, Manara) na wewe nipe mifano ya watu wanaojuta kutooa.
Nje ya ndoa kuna uhuru, Sex (ngono) pia inapatikana kama kawaida, watoto unapata bila ndoa na zaidi unaepuka stress zisizo na ulazima.
Ndoa ni kichaka cha wanawake kuwanyonya na kuwavuruga wanaume.
#KATAANDOA
Watoto unapatawa kutosha, la muhimu sana hilo
 
Mkuu mwanaume huwa anaaga na sio kuomba ruhusa.

Mwanaume kabla ya kuondoka nyumbani unamuaga mkeo kuwa unaenda sehemu fulani kwenda kufanya jambo fulani ili ukipata tatizo iwe rahisi kujua na namna ya kukusaidia na sio kuomba ruhusa.
Utaaga unaenda kulala na mwanamke mwingine, unaweza kuaga hivyo?
 
Mkuu umeandika kwa hasira sana
1.Malezi yenu wakati wa zamani sio sawa na sasa ambapo utandawazi umeongezeka watoto wa kike sio kama wale mliokua nao

2.Sheria za ndoa huku nchini bado ni dhaifu na kwa ajili ya kumfavour mwanamke endapo zikibadilishwa hutasikia haya mambo

3.Dini ..ukristo unamfunga sana mwanaume kwenye ndoa kuishi na mtu kufa na kuzikana sio rahisi nyakati hizi ndio maana wadada wanajua huna la kumfanya ataleta kila aina ya rangi

4.Afya ya akili..Nature ya mwanaume ni kutolalamika na dunia ndo inamtaka awe hivyo nyakati hizi za utandawazi wanaume wanapigwa matukio makubwa sana na ya kusikitisha mno ..ivi kwa nini matukio mengi ya kujiua husababishwa na mapenzi ?

5. Kusema ndoa ndio kipimo cha uanaume si sawa .Nyakati hizi mbona mashoga wanaoana?

6.Watu wengi waliooa wanalalamika sana kwa hawa dada zetu hali imekua si shwari wengi wanaumia sana kwa ndani ukikaa nao wana furaha ya kuigiza ,kwani kuna mtu anapenda mateso ?

7.Benefits za ndoa zimerahisishwa sana siku izi tofauti na zamani hata alie single anazipata mfano watoto na swala la ngono .Wewe unaweza kwenda kununua mkate Kariakoo wakati nje kwako kwa Mangi anauza?

8.Kusema kwamba mtu anakimbia majukumu kisa hajaoa ni uongo .Unataka kutuaminisha kumuhudumia mwanamke ndio kipimo cha Uchapakazi?Kama unahakikisha mahali umetoka wanapata matunda wa mti walioupanda haya mengine ni extra tu.

Yote kwa yote ndoa ni jambo la kitakatifu hata vitabu vya Mungu vinaonyesha na mustakabali wa jamii bora hutengenezwa na ndoa .Lakini ili watu warudi njia bora haina budi Mambo yabadilike tuendane na wakati .
 
Back
Top Bottom