Nina marafiki wengi waliooa, naona na kusikia majuto yao. Nimesuluhisha sana migogoro ya ndoa na kujifunza mengi kupitia migogoro hiyo. Pamoja na yote ninekuwekea mifano michache ya watu maarufu wanaohangaika na ndoa zao kipindi hiki (Dr. Mwaka, Manara) na wewe nipe mifano ya watu wanaojuta kutooa.
Nje ya ndoa kuna uhuru, Sex (ngono) pia inapatikana kama kawaida, watoto unapata bila ndoa na zaidi unaepuka stress zisizo na ulazima.
Ndoa ni kichaka cha wanawake kuwanyonya na kuwavuruga wanaume.
#KATAANDOA