Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Kuna baadhi humu uelewa wenu ni mdogo sana muktadha wa mada ni kutaja makundi... Na sio uchambuzi, kama ni uchambuzi nimeshafanya kwenye mada zilizotangulia.. Muwe mnaelewa mada kabla ya kuchangia
 
Watu wawe huru na maamuzi yao kama unapenda kuoa ingia kwenye hiyo taasisi na kama hupendi kaa kando. Hamna sheria ya nchi inavunjwa ukiamua kati ya hivyo viwili.
 
Ni ujinga wa hali ya juu sana kujivunia ndoa. Kila mtu anajua madhara na uharibifu wa ndoa katika maisha ya watu kwa sasa, kwa hiyo usitupigie kelele.

KATAA NDOA
 
Wanaopinga ndoa ni watoto wa masingle mother ,mtoto aliye lelewa na wazazi wake wawili hawezi kusema ndoa haina maana.
Hijafikiria vizuri. Waza tena juu ya ndoa.
 
Sema nn mm siwez kuwalaumu sababu hawana kosa sasa kama naona ndoa za watu zinavyovunjika hovyo kila siku nasikia ugomvi kwenye ndoa kila siku naona wake za watu wanavyochepuka unadhani nitakuwa na moyo wa kwenda.

Kitu kingne mfano hali yangu sio nzuri najua kabisa mm mwenyew kula kwa shida then uniambie nioe ni heri kufa single kuliko watoto kuishi hali niliyoishi mm.

Kitu kingne mfano najijua mm ni mgumba naend kuoa mke wa kazi gani ili niwe nasikia tukisemwa mtaani kuwa hawana uwezo wa kuzaa ya nn kumtesa mke wangu si bora aolewe na wenye uwezo wa kumzalisha.

Kitu kingine umeandika walioathiriwa na punyeto sijajua unamaanisha nn ila kwa nilivyoelewa kama mm najijua punyeto imeniharibu na uume upo legelege pengne hata bao moja ni kazi asa nikaoe mke wa nn kama sio kuliwa tu hapo labda nipate dawa ya kunitibu nd hvy watu wahuni madoctor fake.

Inshort kuoa sio lazima hata biblia imesema (“Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.“Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe, maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa,Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza,wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe.)

Kwahiyo ukiona huwez kujizuia ndio uoe.
 
Asante kwa mchango mzuri wenye uwazi na unaoakisi uhalisia ambao wengi hawataki kuusema bali wanakimbilia sababu nyingine tofauti kabisa
 
Ndoa imara hujenga familia bora na jamii bora.

Wanaokataa ndoa wana agenda zao zinazotaka tuwe na taifa la hovyo.
 
Men were meant to build.

Build skills, build businesses, build functional relationship and family dynamics.

A man who isn’t building loses a part of himself and becomes a shell of his former self.

Don’t fall victim to the appeal of overconsumption, become a creator.
 
zamani ukioa ilikuwa ni fahari ila kwa nyakati hizi hadi kuku watakushangaa
Men were meant to build.

Build skills, build businesses, build functional relationship and family dynamics.

A man who isn’t building loses a part of himself and becomes a shell of his former self.

Don’t fall victim to the appeal of overconsumption, become a creator.
 
Unaoa dunga embe unategemea nini ? Mwanamke amechakazwa na wanaume zaidi ya 20 halafu wewe unajipeleka kuoa!!
Oa bikra ufurahie mema ya nchi
Nadhani kampeni ingeelekezwa "Kataa Malaya oa bikra" na ubikra wenyewe uwe unathibitishwa na Daktari mwaminifu na mienendo safi, na rekodi za binti, hili lingejenga hofu kwao na wangeanza kujitunza,akifahamu akicheza hovyo ndoa haipo na atakuwa amejizalia toto lake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…