Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Mm naomba nisaidie namba ya mganga yoyote anaeweza kuleta utajiri au anaeweza kunisaidia biashara iwe ina wateja sana au niwe na nyota ya hela msaada tafadhar awe anatokea maeneo ya tunduma,mbeya,igawa,makambako sanasana hayo maeneo ila hata akiwa kwingne sawa tu.
Utaishia kupigwa
 
Vijana mnachekesha sana!
Hivi hamuwaoni single mamas walivyokuwa na stress za kulea mtoto/watoto pasi na baba zao? Na hamjioni nyie watoto mliolelewa na single parent utofauti mlionao mkijilinganisha na wale wenzenu waliokulia kwenye ndoa? Tatizo lenu mnakimbilia kwenye material things ila kwa mwanaumme aliye kamilika na anayetambua na kuheshimu muda, utu na malezi kwa wanae lazima aoe, alee wanae katika misingi ipasayo na arithishe hiyo misingi kwa wanae. Sasa pasipo kuwa na mke, hayo mambo hapo juu yatapalanganyika.

Waulizeni watoto waliokulia mitaani na wale waliolelewa kwenye vituo vya watoto yatima athari za kutolelewa na baba na mama ktk maisha yao.

Wanandoa wanaopenda watoto wao, kamwe hawakimbilii kutalikiana. Wapo tayari kuishi ndani ya paa moja bila kupeana unyumba kwa kipindi cha hata miaka 15 ilmradi walee na kukuza watoto wao wakiwa pamoja.
 
Vijana mnachekesha sana!
Hivi hamuwaoni single mamas walivyokuwa na stress za kulea mtoto/watoto pasi na baba zao? Na hamjioni nyie watoto mliolelewa na single parent utofauti mlionao mkijilinganisha na wale wenzenu waliokulia kwenye ndoa? Tatizo lenu mnakimbilia kwenye material things ila kwa mwanaumme aliye kamilika na anayetambua na kuheshimu muda, utu na malezi kwa wanae lazima aoe, alee wanae katika misingi ipasayo na arithishe hiyo misingi kwa wanae. Sasa pasipo kuwa na mke, hayo mambo hapo juu yatapalanganyika.

Waulizeni watoto waliokulia mitaani na wale waliolelewa kwenye vituo vya watoto yatima athari za kutolelewa na baba na mama ktk maisha yao.

Wanandoa wanaopenda watoto wao, kamwe hawakimbilii kutalikiana. Wapo tayari kuishi ndani ya paa moja bila kupeana unyumba kwa kipindi cha hata miaka 15 ilmradi walee na kukuza watoto wao wakiwa pamoja.
Wanandoa wanaopenda watoto wao, kamwe hawakimbilii kutalikiana. Wapo tayari kuishi ndani ya paa moja bila kupeana unyumba kwa kipindi cha hata miaka 15 ilmradi walee na kukuza watoto wao wakiwa pamoja.[emoji1545][emoji23][emoji818][emoji817]
 
Huwa hamuwezi kujibu hoja za wakataa ndoa kwa nini wanakataa ndoa?

Ninyi mnatumia ushoga kama kichaka cha kujificha, kukwepa kujibu hoja za wakataa ndoa..

Kuna wanandoa pia ni mashoga vilevile..na wapo wasio oa sio mashoga...

Kila mtu anatumia ushoga kama "defence mechanism" ya kukwepa kujibu hoja za kupinga ndoa..

Hamu angalii sheria za ndoa mnang'ang'ana na ushoga.
Kuna sheria ya ‘Alimony’ , yaani ni ujinga, unageuzwa mfuko wa pensheni kwa kumuacha mke wako , na unalipa kila mwezi, hata kama kaolewa, unaendelea kumlisha yeye na mme wake mpya na watoto wa mme wake mpya.., aisee, kataeni ndoa! Oeni na mzae, ila msifunge ndoa!
 
Mambo ya Beijing hayo. Wenyewe walisema "fifty fifty by twenty twenty" 50 kwa 50 by 2020.View attachment 2512581
Kumbe shida yote ilianzia hapa.., siku hizi hadi wanaume wanapigwa, na ukileta fyoko fyoko unajikuta mahakamani unadaiwa talaka, ili ulipe ‘Alimony’ na mgao wa mali zako ulizovujia jasho kama chizi
 
Wadogo zangu someni hili na mlizingatie sana
FB_IMG_1676051424313.jpg
 
Vijana mnachekesha sana!
Hivi hamuwaoni single mamas walivyokuwa na stress za kulea mtoto/watoto pasi na baba zao? Na hamjioni nyie watoto mliolelewa na single parent utofauti mlionao mkijilinganisha na wale wenzenu waliokulia kwenye ndoa? Tatizo lenu mnakimbilia kwenye material things ila kwa mwanaumme aliye kamilika na anayetambua na kuheshimu muda, utu na malezi kwa wanae lazima aoe, alee wanae katika misingi ipasayo na arithishe hiyo misingi kwa wanae. Sasa pasipo kuwa na mke, hayo mambo hapo juu yatapalanganyika.

Waulizeni watoto waliokulia mitaani na wale waliolelewa kwenye vituo vya watoto yatima athari za kutolelewa na baba na mama ktk maisha yao.

Wanandoa wanaopenda watoto wao, kamwe hawakimbilii kutalikiana. Wapo tayari kuishi ndani ya paa moja bila kupeana unyumba kwa kipindi cha hata miaka 15 ilmradi walee na kukuza watoto wao wakiwa pamoja.
We jamaa, tofautisha kuoa na kufunga ndoa.., hakuna anae pinga kuoa hapa.., tunakataa ndoa!!
 
Vijana mnachekesha sana!
Hivi hamuwaoni single mamas walivyokuwa na stress za kulea mtoto/watoto pasi na baba zao? Na hamjioni nyie watoto mliolelewa na single parent utofauti mlionao mkijilinganisha na wale wenzenu waliokulia kwenye ndoa? Tatizo lenu mnakimbilia kwenye material things ila kwa mwanaumme aliye kamilika na anayetambua na kuheshimu muda, utu na malezi kwa wanae lazima aoe, alee wanae katika misingi ipasayo na arithishe hiyo misingi kwa wanae. Sasa pasipo kuwa na mke, hayo mambo hapo juu yatapalanganyika.

Waulizeni watoto waliokulia mitaani na wale waliolelewa kwenye vituo vya watoto yatima athari za kutolelewa na baba na mama ktk maisha yao.

Wanandoa wanaopenda watoto wao, kamwe hawakimbilii kutalikiana. Wapo tayari kuishi ndani ya paa moja bila kupeana unyumba kwa kipindi cha hata miaka 15 ilmradi walee na kukuza watoto wao wakiwa pamoja.
Tatizo sio mke, tatizo ni kufunga ndoa.

Unaweza kuishi na mwanamke bila ya kufunga naye ndoa mkalea watoto wenu vizuri tu...

Wapo wazee waliodumu na wake zao bila kufunga ndoa wakaishi nao vizuri tu.

Ndoa ina sheria ambazo zina egemea sana upande wa mwanamke kuliko Mwanaume.

Halafu sio kila mtoto aliye lelewa na single parent yupo tofauti na walio lelewa na baba na mama. Kuna watoto licha ya kulelewa na wazazi wote wawili bado wana maadili mabovu pia.

Mtoto kuwa na maadili mabovu sio swala la "single parent" ni swala la MALEZI gani huyo mtoto anapata kutoka kwa huyo mzazi haijalishi ni mmoja au wote wawili.

Maana pia kuna wanandoa wanafunga ndoa na mmojawapo unakuta anafariki kwa hiyo mtoro anabaki na mzazi mmoja "single parent". Kwa hiyo hapa huwezi kuhitimisha kusema kwamba kila mtoto aliye lelewa na "single parent" yupo tofauti na aliye lelewa na wazazi wote. Inategemea ni malezi gani aliyopewa huyo mtoto...


Sheria za ndoa zi angaliwe upya ikibidi ziwe na usawa kwa wote mwanamke na mwanaume sio kuegemea upande mmoja..
 
Binafsi siungi kampeni ya kataa ndoa,kwasababu ninaamini familia bora lazima iwe na msingi wa baba na mama,

ila hizo sababu ulizoziandika hapo juu itakuwa ni mtazamo wako tu,maana haujaandika kwa kuchambua kwa kina,umeandika kiushabiki ule wa simba na yanga,tegemea wapingaji wengi kwenye huu uzi wako tena kwa hoja za uzito,

kama kweli ulikuwa na nia ya kuwaelimisha watu kuhusu umuhimu wa ndoa hukupaswa kuandika kimipasho hivo kwa kutegemea uungwaji mkono kwa member wengi ambao wanaunga mkono kuhusu ndoa,

ulipaswa uelezee umuhimu na faida za kuwa kwenye ndoa pia ungeelezea hasara ya kutokuwa na ndoa
Una akili sana kaka mkubwa,,jamaa leo kachalala,,hakuna hoja yenye mantiki hata moja.
 
Mimi siyo mpinga ndoa ila jamaa hoja zako hazina mantiki kabisa,,ulichokifanya ni kuendeleza mashindano yaleyale yanayoendelea kila siku humu JF,,ungetoa hoja zenye uzito wa kuweza kumfanya mpinga ndoa ajaribu kubadili perception yake ningekuelewa,,ila kusema ety wanaopinga ndoa "hawajiamini, wana maumbile madogo sijui hawajiamini kuwa wanaweza kuwaridhisha wake zao" ni hoja dhaifu sana halafu pia ungetemea chini usitemee juu ili hizi hoja zisije kuonekana umejiongelea wewe mwenyewe,,kuwa makini na mkeo ni USHAURI.
 
Nimetaja makundi saba la mashoga ni mojawapo na sijaliweka no moja mbona umelikomalia hilo?
Si kweli kwamba kampeni ya kataa ndoa ni kwasababu ya sheria kandamazi! Labda kuna kitu hujui! Iko hivi kukaa na mwanamke pamoja miezi mitatu hiyo kisheria anahesabika ni mkeo hivyo akiamua kudai chochote sheria inamlinda

Mwisho sielewi hata kama unajua kwa usahihi wake tafsiri ya neno mipasho, msiyatumie tu maneno ili kujifurahisha yatumieni katika tafsiri yake sahihi, huo ndio weledi wa lugha na mijadala
mkuu hongera kwa kijitahidi kutetea hoja yako, natumani hata wadau wamekwambia nilichokuambia,hayo makundi umeyaandika kiushabiki sio kama wapinga ndoa wanavyodai kwenye hoja zao

wajibuni hoja zao bila kuwabeza kwa maneno ya kashfa
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA

Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi

Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya

Haya ndio makundi yao

1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!


2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati

3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa

4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu

5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha

6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe

7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja

Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji

Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
Mshana kila "era" fikra na mitazamo huwa inabadirika. Teknolojia nayo huwa inabadilisha mambo mengi.
Siku hizi huwa nashangaa hadi warabu wanavaa jinsi za kubana tena uarabuni ktu ambacho zamani haikufikirika.
Sisi tuliosogea umri tunadhani mambo yanatakiwa yabaki vilevile kumbe sio kweli. Wakati huamua mambo yaweje.
Wazungu walisha amua kuwa huru na mambo ya ndoa na hata kuachana bila kujali misinhi ya dini, tuliwashangaa sana! Sasa tunayashuhudia yakiyokea na mengi yusiyozoeleka yatatokea hata kama tutayazuia kwa mijeredi.
Navyoiona Dunia navyoenda kila mtu atakuwa huru na maisha yake sheria zitakazozingatiwa ni zile zinazoingilia uhuru wa mwingine.
Tukumbuke maafili ya sasa yalijengwa na Jesus , M.S.W ba akina Sokret,Plato,Cant, Ricaardo, Newton, Einstein nk.
Kuna wanafalsafa na wanasayansi wapya wanabadili fikra na kubuni fikra mpya hivyo tutarajie mambo mengi sana kubadirika tusivyotarajia.
Tutabaki kushika tama na kusikitika hiku tukiwa hatuna nguvu ya kuzuia yasitokee tusiyoyapenda.
 
Dah mkuu kumbe tulisahau kumjumlisha na lile kahaba la mengi , mengi alikua na uwezo wakuishi yae bila ndoa , ila alipofunga tu ndoa ameletea familia yake shida . Kataa ndoa mkuu ila kama hauna mpngo wa kutafuta pesa kubali ndoa kimkakati.
Tusimsahau Mrema pia
 
Back
Top Bottom