Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Kuomba ruhusa? 😂 Kumaanisha nini yaan niombe ruhusa mwanaume niombe ruhusa kwenye mji wangu? Ameoa au ameolewa?
 
Mkuu mwanaume huwa anaaga na sio kuomba ruhusa.

Mwanaume kabla ya kuondoka nyumbani unamuaga mkeo kuwa unaenda sehemu fulani kwenda kufanya jambo fulani ili ukipata tatizo iwe rahisi kujua na namna ya kukusaidia na sio kuomba ruhusa.
Wanawake wakishaolewa wanageuka kua wababe wanaume wengi wanapigwa na wake zao Ila hawasemi wanaogopa aibu, kuna mzee alidhoofu kwa msongo wa mawazo sababu ya kipigo na mdomo mkewe anarap vibaya yaan akianza kurap anabwata anafokafoka mzee akili zinaruka anapoteza amani ya moyo

Wakishaolewa wanataka wammiliki mwanaume kabisa yaan awe km mtoto akitaka kwenda popote aombe ruhusa akikataliwa basi hakuna kwenda hata kazini mwanamke anaweza akaamka na amri tu leo hakuna kwenda kazini mwanaume unatakiwa kutii ukigoma tu kivumbi kinaanzia hapo,
 
Diamond Elon mask , lily wine Newton , Ronaldo , Messi Michael Jackson na wengne wengi hawana na hawajawahi kuwa na ndoa na hawana mpngo wa ndoa , wanaume wengi hawapendi ndoa kwa sababu kwa sasa hazina faida kwa mwanaume, bali zinamlinda tu mwanamke tena kiukandamizaji bila haki kutendeka, mshana ww ni mtu wa zamani, tena makin mno ila umeshindwa kutambua mapungufu yaliyopo kwa watoto wenu wa kike hasa wa sasa wanapo kuwa wanahitaji ndoa, hawajua wanafuata nini kwenye ndoa zaidi wanataka tu wasionekane huko njee hawana ndoa, wakishapata ndoa wamepata utulivu wakupiga matukio yao huku wakijua mambo yao yakiharibika ndoa itamlinda atapata chochote kitu haturud nyumbani kwao kwa aibu., ukitaka wapnga ndoa watulie , waambie wanaume wenye ndoa wafungue nyuzi za kuonyesha mazuri wanatopata kwenye ndoa kwa idadi swa na mabaya na lawama tunazoona kwenye jukwaa la mapenzi.
 
Wanaume kama huyo rafiki yako ndo wanafanya ndoa zidharaulike mwanaume unaanzaje kuomba ruhusa kwa mwanamke pumbavu kabisa huyo rafiki yako.
Mwanaume anatakiwa aondoke na kurudi nyumbani muda wowote anao utaka
Nakazia.
 
Tunacho kataa ni hicho kitendo mkuu , mababu zetu walikubali kufunga ndoa , kuna faida walizipata , mimi kijana wa sasa nitajie faida tano zenye maana nikifunga ndoa , heshima naipata nikiwa na pesa mingi na bado wanawake na wake za watu wanatka kuwa na mimi
 
Wanaopinga ndoa ni watoto wa masingle mother ,mtoto aliye lelewa na wazazi wake wawili hawezi kusema ndoa haina maana.
Kwa taarifa utakapo endelea kuhamasisha ndoa kwa kizazi cha sasa unahamisha watoto wa single mother waoane ,kwa sababu ulipo kwenye ndoa watoto wako ni watoto wa single mother watarajiwa kumbuka ya dr mwaka
 
Tunakataa ndoa kwa lengo la kupinga sheria kandamizi zilizopo kwenye ndoa , mwanamke akichepuka kwenye ndoa, ukivunja hyo ndoa mwanamke anapata faida ya mgawanyo wa Mali na mtoto anabaki kwa mama kma leseni ya tra lazima ulipie ushuru wa yeye kubaki na mtoto , fuatilia kisa cha dr mwaka huku jf hasa kwenye comments za wadada tu wa huku, ndo utajua kwa nini tunakataa ndoa tena kwa herufi kubwa KATAA NDOA kama ndoa ni mbususu tu mbona mbususu zipo kwa mafungu
 
Unaoa dunga embe unategemea nini ? Mwanamke amechakazwa na wanaume zaidi ya 20 halafu wewe unajipeleka kuoa!!
Oa bikra ufurahie mema ya nchi
Bikra wa bikra ipi mkuu kwa dunia ya sasa
 
Hii ni mada ya tano ama ya sita naandika kuhusu ndoa.. Na muktadha ulikuwa kuyataja makundi na si kufanya uchambuzi wa faida na hasara za ndoa.. Kama ungezingatia kichwa cha habari usingeandika haya
 
Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka, ndoa haina kitu cha ziada zaidi ya ngono. Nje ya ngono ni stress tupu, mifano tunayo mingi tu ( Manara, Dr.Mwaka n.k)
#KATAANDOA #NDOANIUTAPELI
Wanaotamani kutoka ni waliokosea kuoa ama kupata wenza sahihi
 
Couples ambazo zinaishi pamoja unazitofautishaje na mfumo wa ndoa?

Au tuseme ndoa ni kile kiapo?
Kiapo ni nyaraka za kisheria tu na hapa nfio tunapokosea kuhusu ndoa japo iko kwenye uchambuzi mrefu hapo juu
 
Huu ni uzi wa waliooa kufarijiana maana si kwa stress walizonazo[emoji1787]
Pambaneni na mdoa zenu, hakuna aliyewalazimisha kukimbilia ndoa.
#KATAANDOA
Katikati hali ya ujana wengi watakubaliana na wewe
 
Muktadha wa mada ulikuwa kutaja makundi na si vinginevyo[emoji1545]
 
Usio kwa kukurupuka
Usioe kama hujajiandaa kuishi maisha ya ndoa
Usioe kama bado una maisha ya kwenda vijiwweni utaona ndoa ni chungu na utateseka sana
Halafu ndoa ni ya wawili ishu ya kumpa mshkaji simu aongee na mkeo sio ukomavu wa akili ni kutojiamini na ku expose maisha binafsi kwa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…