Diamond Elon mask , lily wine Newton , Ronaldo , Messi Michael Jackson na wengne wengi hawana na hawajawahi kuwa na ndoa na hawana mpngo wa ndoa , wanaume wengi hawapendi ndoa kwa sababu kwa sasa hazina faida kwa mwanaume, bali zinamlinda tu mwanamke tena kiukandamizaji bila haki kutendeka, mshana ww ni mtu wa zamani, tena makin mno ila umeshindwa kutambua mapungufu yaliyopo kwa watoto wenu wa kike hasa wa sasa wanapo kuwa wanahitaji ndoa, hawajua wanafuata nini kwenye ndoa zaidi wanataka tu wasionekane huko njee hawana ndoa, wakishapata ndoa wamepata utulivu wakupiga matukio yao huku wakijua mambo yao yakiharibika ndoa itamlinda atapata chochote kitu haturud nyumbani kwao kwa aibu., ukitaka wapnga ndoa watulie , waambie wanaume wenye ndoa wafungue nyuzi za kuonyesha mazuri wanatopata kwenye ndoa kwa idadi swa na mabaya na lawama tunazoona kwenye jukwaa la mapenzi.