Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

wanaume wa kisasa wametoka kwenye nafasi zao kimwili na kinafsi,wababa wa leo mnamchango mkubwa kwa watoto/wadogo zenu wa kiume ksma kila changamoyo inayoletwa humu ingepewa uzito na ushauri positive basi hizi kampeni za kijinga zisingekuwepo,vijana wengi wamebaki kuwa wa kiume na si wanaume ndomana hawawezi kumudu familia ..........over
vijana wengi wamebaki kuwa wa kiume na si wanaume ndomana hawawezi kumudu familia ..........over[emoji848][emoji2827]
 
Unapuyanga yote haya wakati kila kukicha unalizwa na mkeo ndani hadi unajuta kumuoa na unaogopa kusema. Ndo nyie tunawakuta mmejinyonga. #KATAANDOA
Hahahah inabidi nicheke tuu.. Uliza wanaonifahamu physically watakwambia
 
Mwanamke Na Shetani ndio Chanzo cha Dhambi wao Tabja zao zinafanana Hawaridhik na Mipaka waliyonayo. Kataa Kuoa ila Akija Geto ishi nae Akiondoka Vuta Mwingine.
Nilikuwa sahihi nilipotaja geto [emoji3]
 
Dunia imebadilika , zile thinking ways za miaka ya 70 itafikia kipindi zitawatoka tu ,ni suala la muda .Kama sio wewe ni mtoto wako .
Suala la kuona ndoa ndio umemaliza maisha ,
Unafeli sana We mzee
Asante kwa kushiriki mjadala kijana wangu anatarajia kuoa hivi karibuni
 
Ahahahahahah Mshana anwzingua anaforce kua positive kwenye kila jambo, Mambo zingine aga tu hazibadilishwi ila zishapitwa na Muda.
Hivi sasa kama niko kwenye ndoa na nina vijana ambao wamevutiwa na ndoa zetu wakubwa wao nitaanzaje kupinga hilo swala? Anyway hii sio mada yangu ya kwanza kuhusu ndoa na sifosi kuwa positive soma hii

Wanandoa wengi hawapendani
 
Mnatubeza bila kutusikiliza
Mnatutukana bila kufikilia

Wanawake wa sasa wanamtzamo tofauti kabisa wa maisha na wanawake wa kizazi chenu

Vijana wengi wanamajonzi mioyoni mwao hawana sehem ya kusemea wazee wako busy, vijana wanamatatizo makubwa kuhusu mahusiano mengi sana,
Kundi la rafiki zangu karibia wote wanawatoto na wameumizwa na wanawake waliowazalisha kwa kukimbia na vitu

Ukioa ukifilisika ndani ya miezi sita huma mke, zamani ilikuwa kawaida mama kuhudumia familia saaa hakuna

Kuna mengi ya kusema ili kukaa hapa na kubeza kutokana na heshima uliyojiwekea humu ndani si sahihi
Mnaoa bila kushaurika
Mnaoa shepu
Mnaoa uchumba wa mwaka mmoja ama miezi sita.. Ndoa si kitu cha kukimbilia hata siku moja
 
Afu haya Mambo yameanza Enzi za akina Yesu na Paulo baada ya Kuona Moto wa Akina Samson hauzimiki. Bora ufunge ndoa na Pete ya Utajiri ila sio hawa Ng'ombe.
Bora ufunge ndoa na Pete ya Utajiri ila sio hawa Ng'ombe.[emoji3064][emoji848] Duh!
 
Diamond Elon mask , lily wine Newton , Ronaldo , Messi Michael Jackson na wengne wengi hawana na hawajawahi kuwa na ndoa na hawana mpngo wa ndoa , wanaume wengi hawapendi ndoa kwa sababu kwa sasa hazina faida kwa mwanaume, bali zinamlinda tu mwanamke tena kiukandamizaji bila haki kutendeka, mshana ww ni mtu wa zamani, tena makin mno ila umeshindwa kutambua mapungufu yaliyopo kwa watoto wenu wa kike hasa wa sasa wanapo kuwa wanahitaji ndoa, hawajua wanafuata nini kwenye ndoa zaidi wanataka tu wasionekane huko njee hawana ndoa, wakishapata ndoa wamepata utulivu wakupiga matukio yao huku wakijua mambo yao yakiharibika ndoa itamlinda atapata chochote kitu haturud nyumbani kwao kwa aibu., ukitaka wapnga ndoa watulie , waambie wanaume wenye ndoa wafungue nyuzi za kuonyesha mazuri wanatopata kwenye ndoa kwa idadi swa na mabaya na lawama tunazoona kwenye jukwaa la mapenzi.
min -me kwa heshima yako nitaandika mada nyingine ya changamoto wanazopitia vijana kwenye ndoa na nitaku tag, maana mada hii nimeonekana kama nawakandamiza
 
Ndoa ni mbaya kama uliingia kwa mguu wa kushoto. Yaani uliingia kwa msukumo wa nyege ukadhani ndio upendo.
Wengi hawana elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya ndoa, wengi wanaingia kwenye ndoa kwa matarajio ya nje zaidi kuliko ndani
 
Ndoa ni spiritual zaidi kuliko material things
Upo sahihi nmekataa hizo za kisheria ila ninayangu ya spiritual zaidi akizingua sheria hazita nibana nikitaka kupiga chini, kukataa ndoa ni mwarubaini wakukomesha haki sawa
 
min -me kwa heshima yako nitaandika mada nyingine ya changamoto wanazopitia vijana kwenye ndoa na nitaku tag, maana mada hii nimeonekana kama nawakandamiza
Nitaheshimu hilo mkuu , sio kwamba tuna nia mbaya tunakataa ndoa kama fimbo ya kuwarudisha kwenye mstari hawa dada zetu wamejisahau sana , na fimbo yetu ya moto ni ndoa kwa sababu ni ktu wanakipenda mno.
 
Binafsi siungi kampeni ya kataa ndoa,kwasababu ninaamini familia bora lazima iwe ya baba na mama,

ila hizo sababu ulizoziandika hapo juu itakuwa ni mtazamo wako tu,maana haujaandika kwa kuchambua kwa kina,umeandika kiushabiki ule wa simba na yanga,tegemea wapingaji wengi kwenye huu uzi wako tena kwa hoja za uzito,

kama kweli ulikuwa na nia ya kuwaelimisha watu kuhusu umuhimu wa ndoa hukupaswa kuandika kimipasho hivo kwa kutegemea uungwaji mkono kwa member wengi ambao wanaunga mkono kuhusu ndoa,

ulipaswa uelezee umuhimu na faida za kuwa kwenye ndoa pia ungeelezea hasara ya kutokuwa na ndoa
Umuhimu na faida ya kuwa kwenye ndoa hii ni mada tofauti na mada hii
 
Back
Top Bottom