Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Kwahiyo ukioa unakuwa kiongozi Bora [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Akili za kipuuzi hizi


Kawasome wakina isack Newtown na wenzake Kwa waliyoyafanya kwenye dunia bila kuwa na hizo ndoa.

Elon musk Kwa mambo ambayo ameyafanya duniani wewe na kizazi chako hamuwez kuyafanya hata baada ya miaka 2000 ijayo na Hana ndoa.


Christiano ronaldo Hana ndoa na ni moja ya wachezaji waliofanikiwa kwenye soka.


Ulivyo mjinga na mbumbumbu unasema waliooa huwa Bora.


Mwigulu nchemba kaoa Ila kila siku anawawekea tozo maisha yanakuwa magumu Hadi akili zinawakaa sawa.

Diamond hajaoa Ila ana maisha mazuri kushinda wewe ulieoa
Sawa single parent, je maadili yao yapoje, je uzinzi ni mfano wa kuigwa?.
 
Watu wameacha dini, tutegemee mengi zaidi ikiwemo kutokuwa tofauti na wanyama. Dini ni Muongozo mwanadamu aishi vipi vyema duniani
 
Ndio wengi wanafanya hivyo akishaingia ndani hakuna rangi utaacha kuziona hususani akishajua udhaifu wako ni nini umekwisha habari yako, wengi hutafuta matobo (loop holes) ya kuanzisha varangati inahitaji umahiri wa hali ya juu kuishi na mwanamke pasua kichwa,
Ndio maana wazee wetu walitumia Mfumo Dume..

Na "polygamy" walitumia sana wazee wetu ili mke mmoja akizingua anahamia kwa mwingine. Hii ilikua inawatia adabu wanawake wakae kwa heshima na kutulia.

Sio sasa wanapinga mfumo dume, wanapinga polygamy halafu wanataka mwanaume awe mtii na mnyenyekevu kwa mwanamke mmoja haijalishi ni pasua kichwa kiasi gani kwa kigezo eti "Uvumilivu"...[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nafkiri umelenga kuwaumiza kihisia ama naweza sema umeamua "kujibu mapigo" maana hoja zao ni kama haujazijibu kabisa.
Ni kawaida sana kwa Binti kuonywa kuwaepuka wanaume kwamba wanaweza haribu maisha yake na hii imefanywa na jinsia zote kwa Miaka mingi lakini kwa Vijana wa kiume hali hua ni tofauti.
Hii kampeni ya Vijana kukataa ndoa haimaanishi wanaogopa mwanamke au majukumu.. wanahofia madhara yanayotokana na "Ndoa rasmi". Sheria za Ndoa zinambana Mwanamume na kumpendelea Mwanamke bila sababu za kueleweka. Na hii inafanya wanawake kutumia mwanya huu kuwafanyia ukatili Wanaume.. huenda Sheria na taratibu zikiwa updated Kampeni kama hizi hazitosikika.. Vijana wa kiume wana haki ya kujilinda kama wenzao.. usiwe ambassador wa Harmful masculinity Amigo. Change is inevitable
Umenena mkuu [emoji817]

Tatizo si ndoa, Tatizo ni sheria za ndoa.

Mababu zetu walimudu ndoa kwa sababu walitumia Mfumo Dume.

Sio sasa hawa wanawake wanataka "Fifty Fifty" na kutaka kuwa sawa na wanaume.
 
Nitaheshimu hilo mkuu , sio kwamba tuna nia mbaya tunakataa ndoa kama fimbo ya kuwarudisha kwenye mstari hawa dada zetu wamejisahau sana , na fimbo yetu ya moto ni ndoa kwa sababu ni ktu wanakipenda mno.
Asante sana nitaweka jioni ama kesho
 
Key points ni kwamba KILA mmoja anaoa kwa sababu zisizofanana na mwingine.
Wengi kwa ajili ya
1.ngono
2.heshuma
3.Kuzaa watoto wote na mama mmoja
4.Mlinzi wa mali
5.Mlinzi wa nyumba yako
6.Katibu au msaidizi wa mambo yako
7
Hizi tofauti ndizo ufanya tuwe tofauti juu ya mitazamo ya ndoa.
 
Uoga wa maisha..wanaume nyoronyoro na kupenda kulelewa ndo maana mi janaume mingi siku hizi ni mishoga
 
Watu kwa sababu wamekataa dini haya mbona ni madogo kuliko yajayo.
Dini imeweka miongozo yote mwanadamu aishije.
We huoni wazungu ni kama wanyama siku hizi
Mzungu aliyekuletea wewe dini ina maana haijui iyo miongozo?

Waafrika hata dini mliletewa na hao hao wazungu.

Halafu sa hizi mnajiona kwamba ninyi ndio mnaifahamu sana hiyo dini kuliko hao wazungu walio waletea....

Mababu zetu walimudu ndoa na walikuwa na miongozo yao ya ndoa hasa "mfumo dume" huu ndio ulitia adabu wanawake.
 
Shida kizazi cha SAsa hakina elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya ndoa.
Dini na mila ziliposema no sex before marriage waliyaona haya. Shida ya wanadamu ni kujifanya wajuaji kuliko mafundisho ya dini. Mungu alipoweka asili ya kitu alijua maana yake KWA faida ya wanadamu.
Ukifanya ngono na mtu mnaunganisha nafsi, ukiungana nafsi na mtu mnakua mateja wa mapenzi. Mkiwa mateja huwezi ona tabia mbaya za mtu na hata ukiambiwa utawaita wanafiki wanawaonea wivu, uteja unaisha kwenye ndoa ndani ya miezi 3 au 6 unamuona wa kawaida ndipo unaziona tabia, unabakia niliambiwa kifuatacho ni majuto na talaka. Watu wanaoa kwa mapenzi na sio upendo wameacha kanuni za asili za kuoana. Huwezi kwepa asili ukabaki salama.
 
Mzungu aliyekuletea wewe dini ina maana haijui iyo miongozo?

Waafrika hata dini mliletewa na hao hao wazungu.

Halafu sa hizi mnajiona kwamba ninyi ndio mnaifahamu sana hiyo dini kuliko hao wazungu walio waletea....

Mababu zetu walimudu ndoa na walikuwa na miongozo yao ya ndoa hasa "mfumo dume" huu ndio ulitia adabu wanawake.
Kizazi cha zamani cha wazungu kilifata miongozo ya dini na sio kizazi cha SAsa we uoni kipo shimoni.
 
Nitaoa ila tukishindwana kabisa kabisa nitaacha halafu nitaoa tena na tena.

Nachojaribunl kulinda ni afya yangu ya akili tu.

Maana hata usingo unaweza kutetereka kiakili
 
Back
Top Bottom