Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

Kwa vile JF wanaogopa maoni yangu na ya kuyadelete nitaongea kwa replies.

Nilichojifunza na ninachozidi kujifunza ni kuwa mwanamke sio kikwazo cha kuwa kiongozi bora. Hata hivyo kuwa mwanamke Rais Tanzania ni changamoto kubwa. Rais Samia ameshindwa kujizuia katika mambo matatu: 1Mipasho - kama mwanamke wa kibongo anashindwa kuweka mambo moyoni; lazima aseme. 2) Woga. Wanawake was Tz (si Ujerumani) kwandani hawajiamini, ni woga. Mama anaogopa kwa hiyo anajaribu kuwamaliza kisiasa wanaoweza kumfanya asiwe Rais 2025; 3) Kisasi; ànashindwa kusahau na kusonga mbele. Anawawinda wapinzani wake ndani na nje ya CCM.

Mama ana mengi mazuri. Ajifunze kwa critics wake wakati akiendelea na ajenda zake. Speech yake ya Jana (sehemu ya mipasho) ni Aibu kwa taifa.
 
Nilichojifunza,ukiwa na mawazo tofauti na mkubwa utashambuliwa kila kona.Kinachofuata kama ilivyo kawaida kwa marais wa Africa Ni kushughulikiana.Kwa Sasa Ndugai anafuatiliwa na usalama,watampoteza muda si mrefu.
 
Mie nimejifunza kwamba "ccm ni ile ile"
 
Zidumu fikra za mwenyekiti....
X: Hakuna umeme wa elfu 27, jiandaeni kulipa ile 320k iliyokuwepo, hakuna mserereko
 
Nimejifunza kwamba Kesi ya mbowe directly ina mkono wake mwenyewe na wala sio washauri au wasaidizi.

Mama ukimbeep anaweza akakupigia mpaka chaji ikaisha.

Wananchi na viongozi wasipokuwa mikono nyuma na wanyenyekevu mama anaweza akageuka Vladimir putin with iron fists.

There is no room to opinion and alternative views within CCM and that should be the case from opposition. Wakae kwa kutulia.
 
Jana kiuhalisia kulikuwa hakuna hotuba,ilikuwa ni mipasho mwanzo-mwisho.

Ilitumika jazba zaidi kuliko BUSARA.

Nchi hii ni ya watanzania wote na kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake kulingana na maono yake,ilimradi asivunje katiba.

Kuna tatizo kubwa Afrika la viongozi kupenda sifa zaidi, kuliko kuambiwa ukweli.

Ni Afrika pekee unakutana na marais wapenda sifa mfano wa yule aliyekuwa Gambia Yahya Jammeh!
 
Magu alikua anajisifia ndo kafanya vitu vingi kuliko wengine huyu nae anasema ndo mikopo nafuu Ever akaweka na kidhungu kabisa sasa dah. Anyway
 
Nilichojifunza mimi hii dunia ni ya Mungu,hamuwezi kumpiga marisasi mwenzenu kama mbwa mkabaki salama mwenyezi Mungu alimponya lissu MAKUSUDI ili ashuhudie watesi wake wakihadhilika!!

Mkuu hujajifunza. Umetoa maktaba yenu.
 
Hujaandika ulichojifunza ila umeelezea orodha ya uliyoyasikia
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani mtu akifundishwa kutoa na kujumulisha,si atasema nimejifunza kutoa na kujumulisha?
Na Hangaya alikuwa anatoa somo.
 
Wakati hayo yanafanyika huyo mama yako muimba taarabu alikuwa wapi katika serikali hii?
Mfike mahali mjifunze kuipenda nchi yenu na sio watu wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…