pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 654
Yes Ni rafiki yangu wa.karibu sana.sema anajiweza na ana nafasi kubwa kazini..atarudisha tu.
Duh!40 m??ana hali gani now rafiki yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!40 m??ana hali gani now rafiki yako?
Kuna wengine wanaitwa allaince in motion..jamaa shuhuda zao ni kama vile maisha ni maraisi sana..
Kuna mmoja alitoa ushuhuda kuwa ameacha kazi nmb,alikuwa hana hata gari wala nyumba,ila baada ya mwezi mmoja wa kujiunga nao,akavipata hivyo vyote
Duh,si mchezoYes Ni rafiki yangu wa.karibu sana.sema anajiweza na ana nafasi kubwa kazini..atarudisha tu.
Hivi huyu ndo yule ndugu yake kada wa chama tawala Julius Mtatiro?
Una hisa Qnet?! Kwa hiyo wewe ndio una akili zaidi kuliko wenzio wote hawa? Hebu angalia comments zote ni negative! Kaingie wewe upigwe akili ikurudie.Watanzania wenzangu huyu aliyeandika hii post kandika kwa kutoelewa habari nzima ya qnet kiundani au kwa manufaa fulani ya kuponda qnet nachowashauri kabla ya kujiunga tafuta presentation za qnet ambazo ni free usikilize vizuri ulize maswali ya kutosha alafu uwamue mwenyewe usikubali kumsikiliza aliyeandikaa sio Kila anayeandika anajuwa wengine ni wapotoshji tuu
😂 😂 😂 😂Hawana lolote zaidi ya utapeli na ile salamu yao ya 'good morning " hata kama ni mchana au jioni huwa siielewi.
Sasa wewe na yeye nani ndio mpotoshaji ambaye hafai kusikilizwa?Watanzania wenzangu huyu aliyeandika hii post kandika kwa kutoelewa habari nzima ya qnet kiundani au kwa manufaa fulani ya kuponda qnet nachowashauri kabla ya kujiunga tafuta presentation za qnet ambazo ni free usikilize vizuri ulize maswali ya kutosha alafu uwamue mwenyewe usikubali kumsikiliza aliyeandikaa sio Kila anayeandika anajuwa wengine ni wapotoshji tuu
Hii kampuni nimetokea kuichukia bila sababu
Washakupiga na ww unataka wenzio nao wapigweWatanzania wenzangu huyu aliyeandika hii post kandika kwa kutoelewa habari nzima ya qnet kiundani au kwa manufaa fulani ya kuponda qnet nachowashauri kabla ya kujiunga tafuta presentation za qnet ambazo ni free usikilize vizuri ulize maswali ya kutosha alafu uwamue mwenyewe usikubali kumsikiliza aliyeandikaa sio Kila anayeandika anajuwa wengine ni wapotoshji tuu