The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Bidhaa unachagua na ziko mbalimbali kama vile saa, water filter, safari package na educationKimbia kama ukoma. Kaka yako anataka kukuingiza chaka, huo ni utapeli kama utapeli mwingine.
Muulize hizo bidhaa za milioni 4 ni bidhaa gani, unaziuzaje? Je faida yako ni kufanya biashara au kuleta watu wajiunge, yaani core business ni nini ili upate faida, biashara au kushawishi watu wajiunge?
Je usipopata wa kujiunga faida unaipataje? Kampuni inauza bidhaa gani?
Kwa nini hadi ulete watu wengine wajiunge?
Q net ni utapeli kama utapeli mwingine. Usidanganyike mdogo wangu.
Saa saba mchana unaambiwa good morning na wewe unajibu moon... Uwo ni utahira kiwango cha lami....Nimealikwa na kaka yangu kujiunga na hii biashara ya mtandaoni ya Q-net, kwa maelezo niliyopata ofisini kwao ni kwamba unanunua kitu online kwenye website yao na bidhaa ya chini ni milioni nne baada ya hapo wanakuregister na unapewa account yako baada ya hapo ukileta watu wawili unaingiziwa kwenye akaunt yako dola mia nne na kadri chain inavyozidi kukua ndivyo unazidi kuingiza kiasi kikubwa zaidi ya ela, Naomba kama Kuna mtu amewahi kuifanya hii biashara au anayeielewa anipe japo kama ina ukweli au lah!
Exactly kaka, unawaelewa ni hvyo hvyo nilishindwa kuwauliza hilo swali kwann salaam ni goodmorning hata mchana, naomba hints kdogo brother kama unawaelewaSaa saba mchana unaambiwa good morning na wewe unajibu moon... Uwo ni utahira kiwango cha lami....
Wanadai hiyo ni biashara ya Kimataifa hvyo muda unatofautiana sehemu na sehemu huku kukiwa mchana sehemu nyingine duniani ambako pia kuna watu wanafanya nao biashara hii kwao ni asubuhi hvyo imewalazimu kutumia salamu ya muda mmojaExactly kaka, unawaelewa ni hvyo hvyo nilishindwa kuwauliza hilo swali kwann salaam ni goodmorning hata mchana, naomba hints kdogo brother kama unawaelewa
Dah..hii kama Qnet nyingine hii..This is what thrilled my realization that brandishing
before a conflux of personage to give a peroration
coda,needs a stupefacient effort. Consequently, those who have a dexterity to do it,must be given a
sanctioned acknowledgementora because it isn't a
mere devoir
This is what thrilled my realization that brandishing
before a conflux of personage to give a peroration
coda,needs a stupefacient effort. Consequently, those who have a dexterity to do it,must be given a
sanctioned acknowledgementora because it isn't a
mere devoir
Saa milioni 4?Bidhaa unachagua na ziko mbalimbali kama vile saa, water filter, safari package na education
Saa milioni 4?
Je faida anakua anapata kuuza saa kisha zikiisha anafuata nyingine anauza au kwa kuunganisha watu?
Faida yake inapatikanaje, core business inayoleta faida ni nimi, kuuza bidhaa au kuunganisha watu? Faida kubwa iko wapi, kuunganisha watu au kuuza bidhaa?
Hiyo saa ya milioni 4 unauza kama machinga kwa khitembeza au unatakiwa uwe na maduka au duka la vitu vya thamani na bei ghari?
Hiyo saa moja ya milioni 4 ni ya madini gani? Nani anathibitisha kiwango cha hayo madini kwenye hiyo saa, ni ya kampuni gani?
Umeweza kutafuta milioni 40 halafu Bado huziamini mbinu zilizokupa milioni 40Kuna mtu alinipa mwaliko. Namuheshimu Sana huyu mtu nikaona si vema kukataa. Nilipokwenda nakuta Mambo ya qnet sijui biashara mtandao kuetngeneza zaidi dola elfu nane kwa mwezi.
Nilimcharukia Sana jamaa. Ivi kweli maisha rahisi kiasi hiki.
Nina jamaa pia aliingia kwenye Bitcoin au crypto currency na wakenya. Yaani wamemtapeli Kama 40 million.
Yaani maisha bwana
Mkuu embu elezea hii oriflame maana kuna dada wa jamaa angu yupo kwenye hii biashara na pia mke wangu ni marafiki wakubwa na huyu dada.Naona kaanza kumrushia mambo ya Oriflame wife.Nipe A B C za Oriflame ili nimstue mapema wife asije angukia huko kisirisiri japokuwa Sasa hivi kawa mjanja maana DECI ilimfunzaOriflame products sina hamu
Naomba lift wakati wa kuondokaNiliacha Ualimu nikaingia humu ndani ya miaka miwili nina Vogue limepaki hapo nje,teh teh teh teh
Hata Mie nataka kujua maana kuna mke wa rafiki yangu anamshawishi my wife.Japo mke wangu alishang'atwa na nyoka kwenye DECIMkuu elezea namna gani huna hamu na oriflame products..mana kuna mdada ananishawishi nijiunge.
Ataanza kuiba kaziniYes Ni rafiki yangu wa.karibu sana.sema anajiweza na ana nafasi kubwa kazini..atarudisha tu.
πππDah..hii kama Qnet nyingine hii..