Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
The fall of every great man, is a woman
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.
Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.
Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.
Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.
Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.
Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.
Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Sent using Jamii Forums mobile app