Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

The fall of every great man, is a woman
Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.

Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.

Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.

Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.

Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.

Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.

Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrejesho wa dada uliyechukuwa number yake vipi ??
"Good morning " hii salam nilipewa ikiwa ni muda wa Saa sita mchana pale mapambano. Nilijibu kinafiki then wakaja wadada na wamama wakiniambia nimepata Bahati nitakua billionea soon.
Mmoja kaniambia nitaje Gari la ndoto zangu, muda huo tumesimama duara hivi. Nikaanz kuhisi kautapeli hivi

Baadae nikapelekwa chumba kimoja nikasimuliwa ujinga wao muda huo nimepewa pen and paper niandike summary et! Sikuona cha kuandika sio siri. Mwisho nikawapa pen na karatas yao ikiwa safi.

Niliambiwa nirud kesho yake wanieleze jinsi ya kuniuzia hizo bidhaa na bei zake.
Ni mwezi sasa umepita sijioni nikienda kupitezewa muda na kutapeliwa juu.

NB: wale wadada ni wazuri nilifanikiwa kuchukua number ya mmoja wao siku yoyote nitamgegeda

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jf, Mimi Nina ushauri tu kea anaetaka kujiunga na qnet ajipange. Wanakudanganya kuwa ukijiunga unatajirika kea muda mfupi lakini Mimi Nina ushahidi mtu wangu wa karibu alijiunga uko huu mwaka wa tatu hakuna Cha utajiri Wala nini ndo Kwanza anasotaa balaa maisha magumu, walimdanganya mpaka akaacha kazi yake ya maana sasahvi anaishu maisha magumu Sana ila bado kakomaa nayo sijui wamemloga [emoji1751]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wenzangu huyu aliyeandika hii post kandika kwa kutoelewa habari nzima ya qnet kiundani au kwa manufaa fulani ya kuponda qnet nachowashauri kabla ya kujiunga tafuta presentation za qnet ambazo ni free usikilize vizuri ulize maswali ya kutosha alafu uwamue mwenyewe usikubali kumsikiliza aliyeandikaa sio Kila anayeandika anajuwa wengine ni wapotoshji tuu
Haaaahaaaa Goodmorning partner msitutanie nyie mkija kudikilizwa huwa hamuwaachi watu waamue mnakomaa nao mm wamekomaa na mm sitaki mwaka mzima wananifuata tu
 
Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.

Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.

Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.

Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.

Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.

Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.

Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
😂😂
 
Good morning.....
Mwaka 2019 unakwisha huo, wale watu walioaminishwa kuwa watakuwa mabilionea haraka haraka kupitia Qnet kwa miezi michache au ndani ya mwaka, sasa jitokezeni hadharani au mjitathamini namna ya kurudishiwa fedha zenu (kama inawezekana!) katika mwaka 2020.

Hakuna njia rahisi ya kuweza kufanikiwa.
 
Good morning.....
Mwaka 2019 unakwisha huo, wale watu walioaminishwa kuwa watakuwa mabilionea haraka haraka kupitia Qnet kwa miezi michache au ndani ya mwaka, sasa jitokezeni hadharani au mjitathamini namna ya kurudishiwa fedha zenu (kama inawezekana!) katika mwaka 2020.

Hakuna njia rahisi ya kuweza kufanikiwa.
Hahaaaaaaa, Goodmorning mkataa utajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Goos morning mkuu.
Jirani yangu (ni mwajiriwa) alisema ikifika Septemba 2017 anabadili gari kabisa na kuanza kuogelea kwenye utajiri wa hali ya juu. Na nyumba anabadilisha kabisa. Alidai ataacha kazi ya mwajiri na kuingia mazima Qnet. Mpaka sasa bado kaajiriwa, hajanunua gari na haoneshi kuwa na mkwanja alioahidi. Navyojua mafanikio hayajifichi, lazima angetukoga tu kwa pesa.
Shikamoo Qnet kwa kuwafilisi watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah GOODMORNING JIRANI WA BILLIONAIRE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa niwasalimu kwa hisani ya QNet, good morning millionaires.

Pili, nafikiri kuna nyuzi tofauti tofauti zinazozungumzia hii nliyoaminishwa kuwa ni biashara ambayo inaweza kukufanya kuwa millionaire ndani ya miaka 5 au chini ya hapo.

Nimewashuhudia rafiki zangu wa karibu wakijiunga kwenye huu utapeli, ikiwepo 2017 rafiki angu mmoja mhitimu shahada ya uhandisi udsm, na hapa karibuni 2019 rafiki yangu wa dhati lieutenant wa jeshi kitu kilichonishangaza na kunifanya nirudi kuandika huu uzi.

Binafsi sijawahi amini utajiri kupitia network marketing, rafiki angu amepotea na kapoteza wengi kwenye huu utapeli, nasikitika sana nguvu yao kubwa waliyowekeza kwenye huu utapeli.

Tusaidieni wanaoielewa vizuri hii biashara pengine ni nzuri tujuzeni wakuu.
 
Jana na leo wako GEITA wanaonyesha maghorofa na magari na familia zao zilivyonona.
 
Tuache wajinga waendelee kupigwa.
Wajinga wapo wengi sana haijalishi wamesoma mpaka chuo kikuu, wakitafuta shortcut ya kufanikiwa, basi QNET itawatafuna vizuri.
 
Binafsi sijawahi amini utajiri kupitia network marketing, rafiki angu amepotea na kapoteza wengi kwenye huu utapeli...
Huu Utapeli..yeah, that's right.

Tusaidieni wanaoielewa vizuri hii biashara pengine ni nzuri tujuzeni wakuu.
Unasemaje? You just said hapo juu kwamba huu ni utapeli. Sasa nani akujuze? Why don't you start asking your close buddies ambao tayati wapo ndani na wanaenjoy mema ya huko? Utapata info za uhakika kwao
 
wajinga ndio waliwao, wacha waendelee kupigwa kwa kutaka mtelezo
 
Back
Top Bottom