Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Ndio maana mnashindwa kupinga Boko Haram....kwa sababu ni Waafrika wenzetu......Mbona Sudan mko kimya....? Unajua ni nini kinafanyika huko.....?
Masuala ya Boko Haram na Sudan yana husiana nini na nilicho kuuliza baki kwenye swali acha mbwembwe za kipuuzi.

Naomba ramani ya 1947 na sasa 2023 ?
 
Masuala ya Boko Haram na Sudan yana husiana nini na nilicho kuuliza baki kwenye swali acha mbwembwe za kipuuzi.

Naomba ramani ya 1947 na sasa 2023 ?

Huna smart phone.....? Ilete Ramani....iko wzi...Halafu leta hoja....
 
Masuala ya Boko Haram na Sudan yana husiana nini na nilicho kuuliza baki kwenye swali acha mbwembwe za kipuuzi.

Naomba ramani ya 1947 na sasa 2023 ?

Hivi huwezi kufanya copy na Paste ya ramani ya Partion 1947......Leta hoja.....? Maana sijui unataka kusema nini?
 
Jenga hoja yako......


Nani anaandika upuuzi....Jibu upuuzi wangu.....Upuuzi naandika ,i,i, mbona huujibu kwa hoja?
Dogo umeshindwa kujibu ?

Acha kujiuma uma kucha mimi sipo kukutongoza hapa jibu swali kama umeshindwa sema.
 
Dogo umeshindwa kujibu ?

Acha kujiuma uma kucha mimi sipo kukutongoza hapa jibu swali kama umeshindwa sema.

Wewe unauliza swali ramani nikupe mimi.....Leta hoja....wewe ni kipofu ? Leta Ramani ....Jenga hoja yako!
 
Wewe unauliza swali ramani nikupe mimi.....Leta hoja....wewe ni kipofu ? Leta Ramani ....Jenga hoja yako!
Wewe ni mpumbavu ? Mbona unakuwa kama tahira kwa kujitoa akili jibu swali nililo kuuliza kama umeshindwa sema full stop sitaki maneno mengi yasiyo na maana.
 
Wewe ni mpumbavu ? Mbona unakuwa kama tahira kwa kujitoa akili jibu swali nililo kuuliza kama umeshindwa sema full stop sitaki maneno mengi yasiyo na maana.

Nani tahira....Swali uulize wewe.....? Mimi nikupe ramani....Nani Tahira...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…