Mziki tu⦠tena hizi spiritual chants ndo waaaa nakusahau dakika.
Mkuu huo upande uwa tunatokaje Certified Hater ππ
naliaaa huku nasindikizwa na mziki
same here mkuu, na freestyle kwenye beatsNina home studio ya kisposi, nkiwa na stress huwa napiga beats narekodi siku inaisha.
Mara moja moja huwa natoka kuzurula.
nshakua ambulance tayarKama Taifa tuna Ambulance nyingi kumbe Mana hata Ambulance inalia Huku inaondoka.
Nani ana ubavu wa kuweka id yako rip,,atakula ban yeye kabla yako weweKujia mimi tafadhali kabla id yangu haijawekwa rip
Ngoja waje waone hii comment wakushangazeNani ana ubavu wa kuweka id yako rip,,atakula ban yeye kabla yako wewe
Watag kabisa kama vipi my dearNgoja waje waone hii comment wakushangaze
Hahaaaa welcome ya kibabeeeKwanza welcome back
Nipo nipo IB, za uzima?Nili kupeza rafiki
kutaka kunichonganisha nao sioWatag kabisa kama vipi my dear