Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Niite raisi wa ma jobless pro maxTajiri kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niite raisi wa ma jobless pro maxTajiri kabisa
Yeah Music is the best thing ever happened kwa mwanadamu watu hawajui tu.same here mkuu, na freestyle kwenye beats
Mipasho ee🤣Naimba
Hip hop, edm, afro beat, bongo flavor.Yeah Music is the best thing ever happened kwa mwanadamu watu hawajui tu.
Naanza kuzurura hovyo nikikutana na demu nakula tunda kimasihara.Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari
🎧🎶Woyoo! Woyoo! Woyoo!!🤣😂😁Mm hua napiga nyeto, nikikirusha tuu kile kimoja bc ni sawa na nmemtoa huyo aliyeniudhi na kubaki na amani ya moyo
Ndiyo maana yake.Sheria mkononi naona ni mkombozi wa wengi 🤣
Kwa hiyo ni kujipiga miti ama siyo?sio kitu cha kufurahia yani unafanya mapenzi na wewe mwenyewe
Hiyo ya kujifungia ndani huku ukisindikizia Master SM au kamsokoto fulani ka kizushi ukasongo sana asee.Najifungia ndani natulia
Nakuwa kimya sana nakosa Raha Huwa nakuwaga na deep thinking balaa had nipate jibu why tumefikia hapo ndio natulia natafuta solution maisha yanaendelea
Hapo ukitoa Afro Beat hiyo mingine yote napiga, siku ntapandisha baadhi ya projects za EDM nilizofanya. Napenda sana huo mziki.Hip hop, edm, afro beat, bongo flavor.
Fresh mkuu, una beat za bongo ulizo piga??.Hapo ukitoa Afro Beat hiyo mingine yote napiga, siku ntapandisha baadhi ya projects za EDM nilizofanya. Napenda sana huo mziki.
Mwanangu Forest Hill ana piga beat pia, siku niki kaa vyema nita safiri kutafuta artist waku zirekodi.Hapo ukitoa Afro Beat hiyo mingine yote napiga, siku ntapandisha baadhi ya projects za EDM nilizofanya. Napenda sana huo mziki.
Utalia vibaya weweKi ukweli mimi huwa naongea na mama mzazi na huwa namwambia kila kitu then hapo zitapigwa story mpaka nitasahau
Lakini mda mwingine kama hapa ofisini wakinizingua huwa siku hiyo lazima niende kwa ant dorry.. huwa nalala mapajani kwake alafu ananibembeleza.
Ila kama aliyenikera ni shangazi dorry hapo ndo huwa tafarani , mara nyingi nachemsha maji ya moto alafu naoga.
Au naweza fatilia zile screenshot ambazo zilinichekesha sana hapa jf basi hapo nainjoi..
Ila kwa sasa sizani kama takuja kereka maana nimependwa n single maza huyu mpaka sasa hapa naongea kashanipigia yaan anataka tuonane tuu...
An wewe hata unikere vipi mi i don't care...
Vishu Mtata acha kulewa
Na shauri hata weye ukiwa na stress tumia njia hii ya kujinyonga, imesaidia wengi 😂😂🙏Unatumia Cannabis mkuu 😂😂😂
Hiyo mkuu, japo napendelea zaid Trap,EDM, na emotional beats kwa sana..Fresh mkuu, una beat za bongo ulizo piga??.
Can you share even 1 nisikie mkuu!!.
Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari