Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi

Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu

Uzi tayari
Naanza kuzurura hovyo nikikutana na demu nakula tunda kimasihara.
Si unajua tena mgaa gaa na upwa hali wali mkavu.
 
Najifungia ndani natulia
Nakuwa kimya sana nakosa Raha Huwa nakuwaga na deep thinking balaa had nipate jibu why tumefikia hapo ndio natulia natafuta solution maisha yanaendelea
Hiyo ya kujifungia ndani huku ukisindikizia Master SM au kamsokoto fulani ka kizushi ukasongo sana asee.
 
Hapo ukitoa Afro Beat hiyo mingine yote napiga, siku ntapandisha baadhi ya projects za EDM nilizofanya. Napenda sana huo mziki.
Mwanangu Forest Hill ana piga beat pia, siku niki kaa vyema nita safiri kutafuta artist waku zirekodi.

then nazi weka kwenye listening platforms, maana Kuna ma underground huko Wana jua Sana.
 
Ki ukweli mimi huwa naongea na mama mzazi na huwa namwambia kila kitu then hapo zitapigwa story mpaka nitasahau

Lakini mda mwingine kama hapa ofisini wakinizingua huwa siku hiyo lazima niende kwa ant dorry.. huwa nalala mapajani kwake alafu ananibembeleza.

Ila kama aliyenikera ni shangazi dorry hapo ndo huwa tafarani , mara nyingi nachemsha maji ya moto alafu naoga.

Au naweza fatilia zile screenshot ambazo zilinichekesha sana hapa jf basi hapo nainjoi..

Ila kwa sasa sizani kama takuja kereka maana nimependwa n single maza huyu mpaka sasa hapa naongea kashanipigia yaan anataka tuonane tuu...

An wewe hata unikere vipi mi i don't care...

Vishu Mtata acha kulewa
Utalia vibaya wewe
 
Sie wazee wa tungi hatuna hizo mambo za msongo wa mawazo au kukerana na mtu.
 
Naamini bado sijawahi kupata msongo wa mawazo, ile kitu ni level nyingine maana nimewahi kuona watu wanaopitia depression.

Nikiwa na stress sana.
1. Napenda sana kuongea na bimkubwa, nitampigia simu zaidi ya kawaida na tutaongea mengi(sio issue iliyonipa stress)
2. Frequency ya kula inaongezeka.
3. Nawekana zaidi ya kawaida, kama ni wife kanipa stress hapo lazima alternative itafutwe(najaribu kuikimbia zinaa this yr)
4. Naweza niende sana church au nisiende kabisa nikakata mawasiliano kwa mda, inategemea nini hasa kimesababisha hizo stress.
5. Nasikiliza sana gospel music.
 
Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi

Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu

Uzi tayari

Huwa ninachukua Biblia na kuanza kusoma kitabu cha MHUBIRI.

"ubatili mtupu"
 
Back
Top Bottom