Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Haya maisha hayana mwenyewe unaweza kuanza vizuri ukamaliza vibaya kabisa hajawahi tokea.. hii mbilinge inanikumbusha stori ya samson na delila.. so sad
 
Hapana si unaona mfano hapa ada ni kwa mwaka. Bima kwa mwaka matumizi ni kwa mwezi.
Yaani hapo ni kwa mwaka na nyingine zinatoka kila mwezi.

Kwa matajiri hiyo pesa ya kawaida tu kwao
 
Jackie anashindwa kujua kuwa Mengi haikuwa mmiliki wa Kampuni yeyote, Mengi alikuwa mwenyekuti wa makampuni ya IPP

Ni sawa na mke wa meneja wa Azam aende kudai urithi kwa watoto wa Bakhresa.
Hiyo Changi anakesi ya kughushi Hari ya mirathi
Mfano ulioitoe siyo sahihi,mwenyekiti wa makampuni lazima awe ni majority shareholder wa kampuni na Kwa hivyo Mengi alikuwa anamiliki share nyingi za IPP ndo maana akawa mwenyekiti.Azam ni Mali za Bakhresa na meneja niwajiriwa wa mshahara tu.Mengi hakuwa mwajiriwa bali mmiliki mwenye hisa nyingi zaidi ya wengine kwenye makampuni ya IPP.
 
Tofautisha kuzaa na kuoa, tunachosema angezaa hata na wanawake mia kama angetaka, no problem, shida ni kuoa
 
Siyo anawaomba ni mali ya baba yao na wana hizo haki
Wao hawaombi mali za baba yao, bali wanaomba gawio la mazao ya mali za baba yao, wangekuwa wanakula tu mali si zingeshaisha? Na wanaofanya kazi ya kuzisimamia ili zizalosje ndio wanafanya ugawaji unaohimilika ili mtaji (mali) zisije zikakata
 
Infact yeye hana mchango wowote. Hao watoto ni kitega uchumi chake. Matumizi million 15 kwa mwezi jamani. Hao watoto wanakula dhahabu?
Kwani kabla ulikua unajua anatumia million ngapi kwa mwezi? Kuna watu wanatumia hio 15 kwa mwezi cha mtoto yaan ni ndogo, watu wanakung'uta 100 hadi 150 kwa mwezi wewe unashangaa 15 cha mtoto hio usishangae sana
 
Dah kwa kweli mali kuwa nazo ni shida pia
 
Gari bovu haliwezi kukokotwa na gari bovu. Siku zote gari bovu hukokotwa na gari Zima!
 
Washua mkisha zeeka msioe hawa wanawake wachanga hususani hawa wanao angalia panapo fuka moshi mtasababisha uzao wenu uteseke na kusumbuana na kurogana saana. Mkisha zeeka wazee wetu tafuteni wa bibi wenzenu.

Jack mchaga? Au unachuki tu na wachaga?
 
KUNA HATARI YA RUSHWA KUTUMIKA HAPA,ILI KUSHINIKIZA JAMBO!,
NAAMINI HAKUNA KITU CHA MATUMIZI YA AINA HIYO , HAPO KUNA KUKOMOANA NA RUSHWA ZA WAZI.
MKE WA NDOA YA KILUTHERI NDIYE ALIKUWA MKE HALALI,MZEE ALIZAA NJE,HAPO NI KIASI CHA FAIDA KITUMIKE KUGHARAMIA WATOTO LAKINI SI KWA GJARAMA ZILIZOBAINISHWA HAPO JUU.
°RUSHWA
°RUSHWA
°RUSHWA.
ADUI WA STAHILI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…