Maisha yao huenda hiyo hela inafika. Ila kitaa huku hela nyingi sana hiyo
Kwanza muulize Kama kwao walikuwa wanatumia Bei gani. Ila bana wanawake wa kwetu. Akishakiwa mzuri ama anatongozwa tongozwa Basi atataka mjukuu wa Trump amuoe na huku yeye Hana anachomuongezea Mana Kama kufaki kila mtu anatoa kiungo Chake. Ila wanaume siku tukiwa waerevu Kama wanawake yaani watapata shida mno.
Ujue wao wanaocheza mno na probability game of so called life. They don't gamble blindly or depends on chance/lucky.
Yaani Wana calculate risks so wanafanya perfect speculation zile probability of their odds are in their side yaani tayari wanapokuwa na edge ya ku win in relationship. Remember the rule of the jungles/valleys,forest/oceans those who have edge must survive during chaos.
Yaani wao wanapiga ama wanafanya calculated risks na ukifanya kalkuletedi risk iyo sio loss kumbuka.
They don't trade their life blindly like us men who are sexual desire driven by nature.
Yaani wanafanya their decisions without being influenced emotionally wanatumia their rational brain to trade their life with so called mwanaume.
Sie tunafanya decision emotionally influenced especially sex emotions na hizi Zina nguvu kinyama yaani zinamzidia mwanaume.
Pia kumbuka na yeye anawaza how she will fit in her peers akiwa anakutambulisha kwao sie we don't care we're pure gamblers who should head to Las Vegas but wao Wana head to wall Street to make calculated gamble/bet.
Lazima ucheki na wewe utapata Nini kwake sio you uchi Mana Kama Ni uchi hata mnyama anao.
Binafsi wakati napiga hesabu za kuoa eti nioe anajua kukaa kwa sofa na kubonyeza remote Hana ujuzi wa maisha Ni no.
Mana sikuwa influenced na ngono. Na ndio Mana kulikuwaga na wanachuo Kama wawili na date na wao Ile second year nikawaambia kuwa nimedisco ili niwaone reaction yao kweli mmoja alichomoa so nikajua kuwa mission accomplished. Tunafungua nashangaa nikiwa cafeteria anajileta kwangu tukiwa tunakula.
Please wanaume do calculated risk katika mahusiano iwe win win situation.
Je, ukikwama hata milioni 50 utazipata kwake kweli ama inakuwaje. Mwingine ukimfungulia hata biashara hawezi endesha.
Sie huwa tunabeba mizoga smt anakupa huduma ambazo unaweza ukazipata at any time anywhere.
I can say that female can be good traders in wall Street they can't be sheep or 🐖 since those are slaughtered by bulls and bears.
Trade your time well and you'll reap reward.
Sasa huyu kabla ya hapo alikuwa ameshapanda hata ndege kweli ama aliunganishiwa na pimp kwa mzee. Yeye anataka kuvuruga huu utajiri ama biashara alizoacha mzee zaidi ya hapo akipewa atakuwa anahonga be ten.
Yaani waafrik kweli jamani Kuna sehemu tulikosea sio bure. Mie naombea ipp na kampuni alizoanzisha mzee ziendelee zitoea Ajira kwa vijana wa kitanzania jamani Ila Sasa hii ke inataka kuvuruga.
Yaani viushoia bana. Jamani oeni kwenu ama watu wa karibu hebu cheki hii Mali ama pesa yote hii inaenda kupotea kwa chasaka Sasa angeoa home hii mali si ingesaidia dada mama baba babu zetu wa upande wa home kwetu. Mana akipata hii pesa atasaidia ndugu zake kunyanyuka kusoma kuwafungulia biashara Sasa huoni Kama unaenda kufaidisha Koo zingine ama kabila zingine.
Wewe unaoa unaishi na ndugu wa mkeo Kama wawili watatu Sasa huoni Kama unanyanyua Koo ama kabila lingine si Bora ungekuwa unalisha ng'ombe wa kwenu wanenepe na wakue wazaliane.
Mana ukikutana na mchaga mwenzake hata USA atakusaidia Kama ndugu yako kuliko ukikutana na mburundi mhutu ama kyasaka Kama vyasaka wengine. Oeni nyumbani. Ukifa Mali unaiacha uchagani.
Unapoa unasaidia kupunguza njaa kwao na ke Mana mamkwe bamkwe shemeji Kuna namna watakutumia Kama daraja kunyanyuka Sasa Ni kwa Nini usipende kwenu wakutumie Kama daraja wakanyanyuka kuliko unaenda kunyanyua watu wengine ambao baada ya kizazi Cha tatu Cha kwako watasahauliana na hakuna kinachowaunganisha kwa pamoja.
Jamani oeni karibukaribu Kama mtt wa shangazi mjomba mamdogo bamdogo mbona waarabu wanaona na hizi Mambo sijui ya dna hakuna kitu. Mbona mmeiga wazungu English so na huko igeni mazuri.
Mwanamke ukioa kabila lingine ndugu zake ukipata hela za Mana wanajazana hapo sebuleni kwako wanawaza namna ya kukula Mana wewe kwao Ni mbolea kustawi mbaya zaidi wakistawi faida hawaleti kwenu wanapekeka kwa kabila lao jamani.
Chukulia mjukuu wa shemeji yako aliyestawi kwa mbolea yako hatomkumbuka mjukuu wako ama hata akiwa kitengo fulani hawezi msaidia amesahaliana Ila mkiwa kabila moja ama majirani unakuta mnakumbukana jinsi walivyoishi wazee wenu.
Wanaume tusifanye maamuzi due to emotions influenced inatugharimu mno