Ofisa
Sio au assistant2.3 m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio au assistant2.3 m
Duuuh wameulaa aseeeeh, mil 2.32.3 m
Ofisa, tcra Ni 4.5 MOfisa
Sio au assistant
TRA nataka kujuaOfisa, tcra Ni 4.5 M
Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.Nimeona Majina ya Rahel Oni isac sigala -mtoto wa Oni Sigalla wa bakita, Sarungi, Elena John Tutuba - Emmanuel Tutuba ni katibu mkuu Wizara ya Fedha au hawana undugu? YA MUNGU - Ni Naibu gavana wa benki kuu,
Sasa wee 2.3 m ni ndogo km huna majukumu mengi?Kwenye pesa ndefu Ni tcra, EGA,bot,tpdc
Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400kDuuuh wameulaa aseeeeh, mil 2.3
Maisha muruaaaaaah.
2.3 M Ni nusu ya salary ya tcraSasa wee 2.3 m ni ndogo km huna majukumu mengi?
Unafanya mambo ya maana,. Afu mbna nilisikia eti 900k
Uwiiiiiih
Aseeeeh poleeeeeh sana, yaan uliponea chupu chupu kufanikiwa.Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.
Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.
Samahani kama hotuba hii itakukwaza.
Duuuuh watu wana kula maisha mweeeeh.Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400k
Angalia watu wameitwa wengi ila hao TCRA ni wachache sana2.3 M Ni nusu ya salary ya tcra
Hiyo ni nyingi sana kwa mtanzania masikini, aliyemaliza chuo na kujishikiza kwenye vibarua vya hapa na pale ilimradi mkono uende kinywani. Hongera kwa wote hasa wale watoto wa kimasikini muende mkalitumikie taifa kwa weledi na uadilifu bila kusahau walio nyuma yenu family zenu na rafiki ikibidi.Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400k
Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.
Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.
Samahani kama hotuba hii itakukwaza.
Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivileDuuuuh watu wana kula maisha mweeeeh.
Wee 2.3 m ni nyingiii jaman,2.3 M Ni nusu ya salary ya tcra
Umeme/maji 400k.? Huyo mtu anakuwa ana kiwanda kidogo nini.Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400k
Asante Mkuu, Mungu ni mwema there is always NEXT TIME.Aseeeeh poleeeeeh sana, yaan uliponea chupu chupu kufanikiwa.
Hongera sanaa kwa ujasiri wako, Jah atakubariki vilivyo.
YeahHiyo ni nyingi sana kwa mtanzania masikini, aliyemaliza chuo na kujishikiza kwenye vibarua vya hapa na pale ilimradi mkono uende kinywani. Hongera kwa wote hasa wale watoto wa kimasikini muende mkalitumikie taifa kwa weledi na uadilifu bila kusahau walio nyuma yenu family zenu na rafiki ikibidi.
Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivile
Kwa maisha ya kitanzania ni nyingi jaman, uwiiiiiiih au we uko kitengo nyeti daaaah.Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivile