Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Nimeona Majina ya Rahel Oni isac sigala -mtoto wa Oni Sigalla wa bakita, Sarungi, Elena John Tutuba - Emmanuel Tutuba ni katibu mkuu Wizara ya Fedha au hawana undugu? YA MUNGU - Ni Naibu gavana wa benki kuu,
Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.

Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.

Samahani kama hotuba hii itakukwaza.
 
Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.

Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.

Samahani kama hotuba hii itakukwaza.
Aseeeeh poleeeeeh sana, yaan uliponea chupu chupu kufanikiwa.
Hongera sanaa kwa ujasiri wako, Jah atakubariki vilivyo.
 
Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400k
Hiyo ni nyingi sana kwa mtanzania masikini, aliyemaliza chuo na kujishikiza kwenye vibarua vya hapa na pale ilimradi mkono uende kinywani. Hongera kwa wote hasa wale watoto wa kimasikini muende mkalitumikie taifa kwa weledi na uadilifu bila kusahau walio nyuma yenu family zenu na rafiki ikibidi.
 
Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.

Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.

Samahani kama hotuba hii itakukwaza.

Duuuuh watu wana kula maisha mweeeeh.
Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivile
 
Back
Top Bottom