Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivile
Ameeeeeeeeeeen!!!Asante Mkuu, Mungu ni mwema there is always NEXT TIME.
Ukikata hapo unabaki na 1.7MWee 2.3 m ni nyingiii jaman,
Wee pesa nyingi jaman, kwa kweli.Hiyo ni nyingi sana kwa mtanzania masikini, aliyemaliza chuo na kujishikiza kwenye vibarua vya hapa na pale ilimradi mkono uende kinywani. Hongera kwa wote hasa wale watoto wa kimasikini muende mkalitumikie taifa kwa weledi na uadilifu bila kusahau walio nyuma yenu family zenu na rafiki ikibidi.
Ubaya wa kufanya kazi TRA ni mmoja tu watu wanakuoverate una pesa nyingi ngoja ndugu na jamaa wasikie utajuta hayo matatizoUkikata hapo unabaki na 1.7M
Ofisa, tcra Ni 4.5 M
Kila sekta ya umma ina posho hata zisizo rasmi, ila zipo.Posho zipo jomba uliza wanaofanya Kazi humo na vitrip vya uwizi wizi vya kutosha
Lazima yaaniKila sekta ya umma ina posho hata zisizo rasmi, ila zipo.
Wee sema kweli bas? UwiiiiiiiiihDah kama Kuna kijana Ali apply izo KAZI na amekosa afute ndoto ya kufanya kazi TRA tena hapo ajira zingine km izo ni 2025-30
Yeah sio nyingi Sana, compared to TCRA,BOTUbaya wa kufanya kazi TRA ni mmoja tu watu wanakuoverate una pesa nyingi ngoja ndugu na jamaa wasikie utajuta hayo matatizo
Mkuu hivi karibuni zitatangazwa tena lengo ni 2,100 na wamechukua 1,453 kwahiyo bado hizo za kujazia hatujui baada ya hapo itakuwaje?Dah kama Kuna kijana Ali apply izo KAZI na amekosa afute ndoto ya kufanya kazi TRA tena hapo ajira zingine km izo ni 2025-30
Haswaaaaah.Lazima yaani
Sio nyingi Sana kivile, Kuna kitengo cha serikali watu wanakula salary 1.5 M, Posho 750k, Posho 450 k, housing 600k, umeme/maji 400k
Nakuombea upate hizi zinaxokuja.Mkuu hivi karibuni zitatangazwa tena lengo ni 2,100 na wamechukua 1,453 kwahiyo bado hizo za kujazia hatujui baada ya hapo itakuwaje?
Mie napenda sana International Organizations.Unachosema ni sahihi kabisa mkuu. Kuna vitengo wanakunja hela ndefu sana katika hizi hizi Government Institutions au Authorities, achimbilia mbali huko kwenye Embassies, International Organizations na U.N ndio hatari sana.
Duuuuh watu wana kula maisha mweeeeh.
Mie napenda sana International Organizations.
Wee 2.3 m ni nyingiii jaman,
Sasa TRA unalipwa 2.3 M Haina Posho ya Nyumba, Haina Posho ya utilities, Haina Posho ya ujuzi,Haina Posho ya katikati ya mwezi hence 2.3 m sio nyingi kivile