Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Rais Samia EWURA wamekalia mkeka Tangu mwaka 2021 hadi leo vijana wako mitaani na interview vijana hawaitwi kisingizio wanamzingiza January makamba kakataa wasiitwe.​

 
Hongereni sana wapambanaji.

Hakika kila mtu ana riziki yake,Sisi ambao hatujabahatika huenda riziki yetu bado, kwahiyo hatuna budi kukomaa.

Inshallaaah!! Kila mpambanaji Mungu atampa riziki yake..

Oya mtaani sio poa wazee..🥱[emoji3064]
 
Ila vijana wana mikwara eti 2.3 M ni ndogo wakati mlikuwa mnajitolea miaka mitano hata hela ya kula hampewi hamjapewa hata check number mshaanza mashauzi mkija kupewa pesa za kujikimu si mtakuja kututukana aisee kweli mwenye njaa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…