Utafanikiwa tyuuuuhHabari
Napenda kuwapa hongera ndugu zangu mliobahatika kupata ajira TRA tumepambana wote toka written mpaka oral lakini kwa uhaba wa nafasi wachache waliofanya vizuri waka bahatika kupata nafasi hizo... nawatakia utumishi mwema ndugu zangu hope na mimi siku moja nitafanikiwa.
Hongera sana, ukatimize majukumu yako kwa weledi na stahiki.Asante Mungu nimebahatika,, nilikua sina imani na utumishi,, sasa nimeamini kweli inawezekana
Na mmetoboa kweli. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeona pia.TRA wametangaza nafasi zingine... wekeni account zenu vizuri kusiwe na vikwazo alafu muombe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu yangu Iko [emoji817]% kabisa.. labda hyo CV ndo sijaweka officially,, but picha ipo na zagazaga kibao.. tena nataka nikacertify vyeti vyangu colored kabisa kama attendants wanashida ya macho basi iwarahisishie kuona[emoji16]
Yaaah hili nalikumbuka sana Mkuu🙏🙏Barua ya maombi usaini
Sasa ukafanye mambo ya msingi tyuu. Ni nyingi hiyo pesa kwa kweli.Yaani sasa hivi ndo nataka kujua Salary scale hivi TRSA 4 ndo 2.3 mil acheni masihara mbona nyingi.
Yote yanawezekana siunajua mtafutaji hatosheki.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]baada ya miez sita utaona ndogooo mkuuu
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajasiriamali mjipange vikosi kazi vinakuja
Wee 2.3m jaman ni nyingi mnooo. Khaaaah
Tena bado hamfikii kabisaa. Dunia haiko fair [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu kweli wanaonewa Mwenye elimu ya shahada analipwaga kiivyo 2.3 M TRA ? Hivi mwenye Diploma analipwa ngapi? Unaweza kuta mshahara wa Dip sawa namwalimu mwenye Master yake anaefundisha Sekondari.
Wametoa tena nafasi mkuu, uskate tamaa omba tena.Kumbe wanaitwa makazini
Nishasahau tayari ona sasa tunatoneshana vidonda
Hili jukwaa la ajira siingii tena kwa mda
Tena bado hamfikii kabisaa. Dunia haiko fair [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nafasi za nini ?Wametoa tena nafasi mkuu, uskate tamaa omba tena.