Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Habari

Napenda kuwapa hongera ndugu zangu mliobahatika kupata ajira TRA tumepambana wote toka written mpaka oral lakini kwa uhaba wa nafasi wachache waliofanya vizuri waka bahatika kupata nafasi hizo... nawatakia utumishi mwema ndugu zangu hope na mimi siku moja nitafanikiwa.
Utafanikiwa tyuuuuh
 
Mkuu yangu Iko [emoji817]% kabisa.. labda hyo CV ndo sijaweka officially,, but picha ipo na zagazaga kibao.. tena nataka nikacertify vyeti vyangu colored kabisa kama attendants wanashida ya macho basi iwarahisishie kuona[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walimu kweli wanaonewa Mwenye elimu ya shahada analipwaga kiivyo 2.3 M TRA ? Hivi mwenye Diploma analipwa ngapi? Unaweza kuta mshahara wa Dip sawa namwalimu mwenye Master yake anaefundisha Sekondari.
Tena bado hamfikii kabisaa. Dunia haiko fair [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom