DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uchunguzoi wa nini na ushoga unajulikana upo na unapogtokea.

Mwakyembe kishafanya uchunguzi wa kutosha, sasa hivi inayotakiwa ni "action" ni tu ya kuuzima.
 
Huu uchonganishi Sasa , siku nyingine usimtaje mtu kwenye mazingira aina hii hata kama ni kweli amekuambia.
Kwani huyo zembwela si atoke hapo, shida nn km hataki watu aina ya Noel kuwa nao karibu? Njaa zinamtesa sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuh naomba hiyo interview ya Gabo, natamani kuitazama.
Ni moja kati ya interview zenye mafunzo sana kaka ake gabo ni kichaa baada ya kumuibia mama yake mzazi na wakaitwa mashekh wakasoma albadir ipo YouTube mkuu kwenye account ya Salama na ipo kwenye laptop mkuu ningeweka hapa ila ni moja kati ya mahojiano mazuri sana.
 
Wabongo hawa ni wa kuwapuuza tyuu, hawana hata akili wala ufahamu wa mambo,
 
Naitaka hiyo interview nijionee akisema kuhusu yeye ku act as gay kwenye movie huko majuu. Lol
 
Ushoga ni janga ngumu sana kulidhibiti, Ni Sawa tu na biashara ya ngono Hao madada poa
 
Aisee, kazi ipo
 
Kweli wewe bichwa komwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…