Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

gentleman relax bana ukweli ndivyo ulivyo..

huna haja kuporomosha matusi kwasabb hiyo ni useless kwenye hoja muhimu sana kama ilivyowekwa mezani..

au umefikia ukomo wa fikra mpya umebaki na mihemko na matusi tu 🤣
Unaishi kwa mikopo na misaada halafu unajitutumua hatuishi bila misaada..!!

Wakati kutwa kucha kiongozi wenu kiguu na njia kutembeza bakuli kuomba misaada na mikopo.

Halafu unatamba eti, Hatuishi misaada.

Mwendokasi yenyewe imewashinda kuiendesha, kwanza wachina ndio wanasaidia kujenga kwa sababu mna upumbavu wa milele.

Hamuwezi kufanya chochote kwenye dunia hii, Zaidi ya uchawa na kujipendekeza.
 
Ikulu, ma v8 yale na masalary makubwa mixer bonus za michongo mingi weee patamu hapo hawawezi kukubali kiurahisi. Uroho usha waingia
 
Nani anaepima kwamba hii ni right au sio right? Ni Beberu USA?
 
😍
 
Kichwani mwake kumejaa uroda wa nyege.

Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy
Hili jamaa Tlaatlaah hovyo kabisa.

Linaishi kwa mikopo na misaada halafu lina jitutumua eti, Hatuishi kwa misaada.

Wakati hata SGR yenyewe ya hapo Tz imejengwa kwa kuunga unga.

Bakuli limetembezwa kimataifa haswa kuomba michango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…