Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Vibaka wanajua kuogoleaKuna vibaka kule,sikiliza video za kule, zinaongea kuhusu vibaka.
Halafu Jumanne nimepita Katesh nikitokea Mwanza,nikawa nafikiria hili jina "Katesh" ni very outlandish .
Hahahahahaha 🤣Zoezi la utayari lipo kwenye kufunga baa zilizozidisha muda tuu!!
Mzee umeongea kweli ingetokea kama Tundu lissu akasema kesho kutwa atafanya maandamano na raia kudai katiba mpya huko manyara kuanzia leo asubuh wangekuwa wamesha deploy troops za kwenda kuzuia, simply kwasababu kwasababu awareness wanayotaka kutengeneza ni threat kwa utawala uliokuwepo, yan watawala wengi wa Africa wao huwa wanaangalia maslai yao tu na maaskari wengi wanaendeshwa kama mang’ombe sijui kwanini ? Askari wetu hawafanyagi reasoning hata kidogo, sijui ni mambo ya shule sijui ni nini. Tanzania kuna magari mengi yale ya kumwagia maji ya upupu kuzuia maandamano kuliko magari mengi ya maji yale ya fire ya kuzimia moto, chakushangaza sasa likitokea janga la moto huoni zile gari za maji ya upupu kuja kusaidia kumwaga maji, mambo mengi yanafikirisha hapa kwakweli…Tawala za chi karibu zote za bara la Afrika (ukiondoa Afrika ya Kusini na Misri kwa kiasi fulani) zina udhaifu mkubwa sana katika kupambana au udhibiti wa majanga, aidha majanga ya asili au majanga ya kusababushwa na binadamu wenyewe, ziko dhaifu mno. There's an extremely Poor Risks Management Plans and Strategies, unatakiwa kuwa mwangalifu sana unapokuwa ktk hizi nchi zetu za ki-Afrika, The Regimes are not serious on dealing with such kind of issues, tawala nyingi zimejielekeza zaidi ktk kununua "silaha za kiulinzi" ili kulinda "Utawala" lakini siyo kununua "Vifaa vya Uokozi" kwa ajili ya "Utayari" wa kupambana na Majanga endapo kama yatatokea. Kila raia apambane kivyake ktk kuokoa nafsi yake kwenye majanga kama haya, it's none of the regime's business. Kwanza hata Serikali zenyewe za Afrika hazina mpango na wala hazijishughulishi na suala la utoaji wa Elimu ya Kupambana na Udhibiti wa Majanga (Risks Control & Mgt Education) mbalimbali kwa Raia wake, hilo ni suala ambalo linaonekana kama haliwahusu.
Wana Jf wanazidi kuonekana wajinga kwa sababu ya watu kama hao Sasa sijui mleta mada alitaka askari wa FFU asiye na mafunzo ya uokoaji afanye niniMaelezo safi sana. Reasoning ya wanajf inazidi kushuka kila uchwao.
Sio lazima afike yy kuna wasaidiziKwani PM mwenyewe kesha fika huko Hanang?
Mnakuwaga wapuuzi kwenye mambo ya kisayansi mnaleta elimu zenu za kienyeji. Mshana Jr sio mtaalamu wa jiografia wala hali ya hewa, hawezi kukusaidia lolote katika hili. Uko Hanang hakuna waganga wa kienyeji? Mbona hamna kitu walisema.Haya mambo ni vema tukawaomba akina Dr Mshana jr watutazamie Katika Ulimwengu wa roho pia.
Yaani Wataalam wote wa Tabia Nchi Hata wale wa mchongo wakiwa safarini Ndio Janga Kubwa kabisa linatokea huku nyumbani.
Mungu wafanyie Wepesi Watu wa Katesh.
Hata shetani huyo hayupo.We shetani usilazimishe kumpinga muumba,wewe endelea na ushetani wako Ila usilazimishe kukubalika
Hapo sio waliwatoa wale waliokua wamepanda juu ya bati
Kwan kaz ya serkal ni nn..ilipaswa iyadake iyazuieSerikali ina kosa gani?! mvua imenyesha kidogo kidogo tu usiku, asubuhi tahamaki tope kubwa sana na maji mengi yameporomoka kutoka huko juu na magogo ya kutosha, serikali ingeyadaka iyazuie au?.
Mudslide hiyoLand slide au mud flow
yanihii habari sijaiona kabisa.kwanini vyombo vyahabati havijaipa airtime yakutosha namapicha kama yoteee?
hatari sana ile ni landslide balaa sana watupe misaada jamaniii sema ndo watu watapita na helaa za msaada humo humooJumuiya mbalimbali za Kimataifa zasikitishwa na Mafuriko yaliyouwa zaidi ya Watu 50 Manyara nchini Tanzania na yamesema yatatuma Ujumbe wa Wataalamu
Source BBC news
Yeye kama Rais alipaswa awe amerudi nchini kuratibu zoezi zima!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
kuna tofauti ya landslide na mudslide/mudflow. Hiyo ni mudslide mzew wa kula tunda kimasiharahatari sana ile ni landslide balaa sana watupe misaada jamaniii sema ndo watu watapita na helaa za msaada humo humoo
Nakuona kwenye nyuzi kadhaa za haya mafuriko ukiilalamikia Serikali na bado sijakuelewa point yako ni ipi hasa! Elnino maana yake si ukame!Elnino ni Mvua kali zinazoangamiza mazao badala ya kuyakuza!Kosa la serikali kuwatoa watu mabondeni lilikuwa ni lipi ikiwa Serikali ilitabiri kutakuwa na mvua kali?Nilisema mwaka huu hamna elnino serikali iache kuwaandaa watu kwa kitu ambacho hakipo, wamewaambia watu kutakuwa na elnino wahame mabondeni matokeo yake huko walipokimbilia milima inaanguka.