Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133
Tawala za chi karibu zote za bara la Afrika (ukiondoa Afrika ya Kusini na Misri kwa kiasi fulani) zina udhaifu mkubwa sana katika kupambana au udhibiti wa majanga, aidha majanga ya asili au majanga ya kusababushwa na binadamu wenyewe, ziko dhaifu mno. There's an extremely Poor Risks Management Plans and Strategies, unatakiwa kuwa mwangalifu sana unapokuwa ktk hizi nchi zetu za ki-Afrika, The Regimes are not serious on dealing with such kind of issues, tawala nyingi zimejielekeza zaidi ktk kununua "silaha za kiulinzi" ili kulinda "Utawala" lakini siyo kununua "Vifaa vya Uokozi" kwa ajili ya "Utayari" wa kupambana na Majanga endapo kama yatatokea. Kila raia apambane kivyake ktk kuokoa nafsi yake kwenye majanga kama haya, it's none of the regime's business. Kwanza hata Serikali zenyewe za Afrika hazina mpango na wala hazijishughulishi na suala la utoaji wa Elimu ya Kupambana na Udhibiti wa Majanga (Risks Control & Mgt Education) mbalimbali kwa Raia wake, hilo ni suala ambalo linaonekana kama haliwahusu.
Mzee umeongea kweli ingetokea kama Tundu lissu akasema kesho kutwa atafanya maandamano na raia kudai katiba mpya huko manyara kuanzia leo asubuh wangekuwa wamesha deploy troops za kwenda kuzuia, simply kwasababu kwasababu awareness wanayotaka kutengeneza ni threat kwa utawala uliokuwepo, yan watawala wengi wa Africa wao huwa wanaangalia maslai yao tu na maaskari wengi wanaendeshwa kama mang’ombe sijui kwanini ? Askari wetu hawafanyagi reasoning hata kidogo, sijui ni mambo ya shule sijui ni nini. Tanzania kuna magari mengi yale ya kumwagia maji ya upupu kuzuia maandamano kuliko magari mengi ya maji yale ya fire ya kuzimia moto, chakushangaza sasa likitokea janga la moto huoni zile gari za maji ya upupu kuja kusaidia kumwaga maji, mambo mengi yanafikirisha hapa kwakweli…
 
Maelezo safi sana. Reasoning ya wanajf inazidi kushuka kila uchwao.
Wana Jf wanazidi kuonekana wajinga kwa sababu ya watu kama hao Sasa sijui mleta mada alitaka askari wa FFU asiye na mafunzo ya uokoaji afanye nini
 
Haya mambo ni vema tukawaomba akina Dr Mshana jr watutazamie Katika Ulimwengu wa roho pia.

Yaani Wataalam wote wa Tabia Nchi Hata wale wa mchongo wakiwa safarini Ndio Janga Kubwa kabisa linatokea huku nyumbani.

Mungu wafanyie Wepesi Watu wa Katesh.
Mnakuwaga wapuuzi kwenye mambo ya kisayansi mnaleta elimu zenu za kienyeji. Mshana Jr sio mtaalamu wa jiografia wala hali ya hewa, hawezi kukusaidia lolote katika hili. Uko Hanang hakuna waganga wa kienyeji? Mbona hamna kitu walisema.

Badala mpendekeze TMA kuongeza wataalamu, iongezewe bajeti, vifaa na utoaji taarifa nyinyi mnaleta uganga. Badala kuhoji ofisi ya Waziri Mkuu utayari wa uokoaji kwenye matukio kama haya mnaleta ramli. Ndio walewale mlikuwa mnadhihaki taarifa za TMA mkisema ni waongo.
 
Jumuiya mbalimbali za Kimataifa zasikitishwa na Mafuriko yaliyouwa zaidi ya Watu 50 Manyara nchini Tanzania na yamesema yatatuma Ujumbe wa Wataalamu

Source BBC news
hatari sana ile ni landslide balaa sana watupe misaada jamaniii sema ndo watu watapita na helaa za msaada humo humoo
 
1701671849919.png


Sijaelewa huko kwenye paa la nyumba bunduki zina kazi gani?
 
Nilisema mwaka huu hamna elnino serikali iache kuwaandaa watu kwa kitu ambacho hakipo, wamewaambia watu kutakuwa na elnino wahame mabondeni matokeo yake huko walipokimbilia milima inaanguka.
Nakuona kwenye nyuzi kadhaa za haya mafuriko ukiilalamikia Serikali na bado sijakuelewa point yako ni ipi hasa! Elnino maana yake si ukame!Elnino ni Mvua kali zinazoangamiza mazao badala ya kuyakuza!Kosa la serikali kuwatoa watu mabondeni lilikuwa ni lipi ikiwa Serikali ilitabiri kutakuwa na mvua kali?
 
Back
Top Bottom