FRED MAGANGA
Member
- Mar 12, 2018
- 51
- 47
HICHO KITENGO KINGEZUIAJE HAYO MAFURIKO?Kwenye ofisi ya waziri mkuu nadhani kuna kitengo cha maafa. Response yao ikoje!?
KITENGO KINAENDA SITE BAADA YA TUKIO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HICHO KITENGO KINGEZUIAJE HAYO MAFURIKO?Kwenye ofisi ya waziri mkuu nadhani kuna kitengo cha maafa. Response yao ikoje!?
Ngoja kwanza wataalam tupo site kutoa ripoti kamiliCreta ilijaa maji kweli au umejibu tu kwa hisia?
Landslide:Tofautisha!
Jamaa katoa ushauri mzuri, wewe sijui mambo ya udini umetoa wapi, unataka uonekani wa tofauti.Unataka tusemaje??
Tuandamane?
Post zote jf ziwe kuhusu Hanang ili ujue tumeguswa, kila post tuweke #rip au tufanyaje mkuu??
Wakiweka namba za kuchangia watu watachangia mkuu, acheni kujidharau. Mnaweka udini hata pasipokuwepo udini.
TMA inahusika na Angahivi wale TMA hii huwa haiwahusu kutabiri au
MUNGU AWANUSURUHuu ndio wakati Sasa WA zile post zilizokua zinaonekana zikiwaombea Kwa Mungu wapelestina na Israel kuzionyesha, na hii ndio Hali halisi.
Ila wabongo bana, Kuna wale walitaka Hadi kuandamana kwasababu ya Palestine, ila majanga yanatokea hapa Tanzania watu hawana time kwanza wengne wakisikia Hanang wanajua mafuriko yametokea China huko.
Wabongo sisi nani alituloga?
Minaona hizo dini ndio zimeleta huu uzezeta tulionao
View attachment 2833235
Achan naeJamaa katoa ushauri mzuri, wewe sijui mambo ya udini umetoa wapi, unataka uonekani wa tofauti.
Mungu awaangazie watu wa Hanang Tanzania.
Katoa ushauri gani hapo kuandamanaJamaa katoa ushauri mzuri, wewe sijui mambo ya udini umetoa wapi, unataka uonekani wa tofauti.
Mungu awaangazie watu wa Hanang Tanzania.
Hujaona nenp pray for Hanang?Katoa ushauri gani hapo kuandamana