Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Nilisema mwaka huu hamna elnino serikali iache kuwaandaa watu kwa kitu ambacho hakipo, wamewaambia watu kutakuwa na elnino wahame mabondeni matokeo yake huko walipokimbilia milima inaanguka.
unauhakika huko Hanang watu walitolewa mabondeni ndo wamepandishwa mlimani?? mbona unaongea kama huna akili