Ni kweli mkuu.hili ata mimi nililiona DPW watakuwa wanamnyima usingizi. ukute kuna mabilion alishapokea, kama maulidi kitenge na zembwela ataendaje kuwadai sasa maokoto na tayari wameshakula. kupanic lazima ata ingekuwa wewe.
Magufuli alikuwa anasema mangapi mwisho wa siku Kabudi akaja kutuambia zile zilikuwa kamba.Siku zote huwa comander in chief akisema hivyo tena kwa utulivu mkubwa huwa amejiridhisha na anachokisema anakimaanisha.
Na TEC wafuasi wao wapo humo humo au unasemaje?Rais Samia ndiye mkuu wa majeshi yote nchini na kwakawaida jeshini huwa hakuna kumbembelezana wala lugha laini ya kufurahisha kwahiyo alichokizungumza ndivyo inatakiwa kuwa Kwa mtu ambaye ni amiri jeshi mkuu
Samia ana uelewa mdogo ssna wa mambo kila kitu akifanyacho anakosea, niaka nenda rudi hajui serikali inaendeshwaje ,kilichompleka dubai na kusain mkatba yeye kama yeye ni kituWamemfikisha hapo , she should fire them . Mbona simple ?! Nasema something is wrong ? Some one is controlling her . Au she is on depression
Kaandikiwa tu na kusoma hata hajui alichoongeaLicha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Hii kurekebisha ni mpaka upande wa pili wa Ridhie na mara nyingi wawekezaji huwa wanaipenda sana Tanzania kwa ni sehem ya kuvuna kizembe pasipo kuuwekeza , njia uhakika ni kuachana na huo mkataba na apate fundisho la kundesha nchi kimhemko"Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Simply ni kuwa ata yeye anatambua hakuna wa kuiharibu hii nchi akiwemo yeye mwenyewe kwa hiyo Hilo jambo la bandari limesikika na litashughulikiwa kama wananchi na maoni ya walio wengi yanavyoelekeza kwa kuwa nchi ya wananchi wenye amani Yao na Umoja wao Kuna nguvu nyuma yake inailinda hii nchi.
Kwa hiyo haya yeye hawezi kupuuzia Hilo.
Linalokwenda kutokea sasa ni mojawapo kati ya haya mawili.
Kuachana na mkataba na DP World.
Ama la kurekebisha kwa mujibu ya maoni ya wananchi na wadau walio wengi.
Tunataka uwekezaji wenye Tija.
Sawa chawaMtatafsiri sana kauli za Dr Samia ila ndo mjue utawala wake ni hadi 2030. MTAKE MSITAKE. Hakuna wa kuzuia hilo.
Amna lolote huyu mam amewapa wakati mgumu sana ccm utFikiri wamemwagiwa wsha washaOgopa sana mtu asiyeongea sana ni hatari kwake binafsi na watu wengine wanaomzunguka. Ogopa sana mtu anayeongea kwa ufupi huku midomo na mikono ikitetemeka. Ogopa sana mtu anayeongea na wewe hata suala ambalo linahitaji kuonesha amekasirika halafu anakuchekea tu. Ogopa sana anayetamka "hakuna mtu anayeniweza mimi"
Any word coming out of a decisionmaker's mouth shifts into executive superiority practice regardless of its relevance.
Marufuku jeshi kujihusisha na siasa; General mkunda CDFNa TEC wafuasi wao wapo humo humo au unasemaje?
Wananchi hatuna shida na serikali. Wanaochochea ni hivi vikundi vya kihuniHakujua tu kuwa Wananchi wana ubavu wa kufanya chochote kile wakikasirika.
Ajifunze yanayoendelea Sudani na Somalia.
Washauri wake wana kazi ya ziada kwa sasa.
Wamshauri vizuri kutokana na hali ya wananchi.
Sema mimi sina shida na Serikali. Nadhani itakaa sawa.Wananchi hatuna shida na serikali. Wanaochochea ni hivi vikundi vya kihuni
Unakuwa Mbabe lakini tumia akilii kufanya maamuzi na mambo yenye Tijaa kwa jamiii.. sio diktata alafu mambo yanaendaa ovyooo tuuNchi hii bila ubabe watu hawaendi......Hayati JPM aliliona hilo ubabe hauepukiki.
Tena namuomba Rais wetu azidishe ukali zaidi, pia viongozi wengine wakiwwmo mawaziri waongeze ukali
Nasikia ndege ya Rais imeshikiliwa Dubai! Alienda nayo akaiacha akaja na ndege ya Emirates!Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Jaribu utaona inavyoendeshwa.Tanzania inajiendea tu kama Gari bovu lililokatika breki