Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Hakika.
Ila kuna mwanachama mmoja wa ushoga kachukia kweli mi kutoa aoni hayo

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndo Dr lwaitama aliowasema....wanamiliki tecno na Shule Hamna ila kwa ubishi sasa lol....hapo kishaweka bando lake la 500 anabisha kila kitu asalaleee fungu la kukosa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwahiyo mzee wa kazi umekubaliana na kila kitu alichokiandika Dr Lwaitama katika huu uzi?
 
Vijana hawa wa hovyo hawajui kuwa hakuna shirika bora la Intelligenc ulimwengu kama CIA. Hawa wanajua 40 yearz mbele nini kifanyike kwa Taifa flan endapo lipo against nao
Daaaah!
Ujanja ni kukubaliana na hiki ulichokiandika hapa, eeeh!?
 
Dr Lwaitama hahaa!!!
aliwahi kunifundisha kutamka neno scalfodding mpaka leo sijasahau
 
Kinyume chake ni sahihi Washington haitokuwa kama ilivyo kama itarnda vitani na Moscow na hilo Joe analijua fika ndio maana mdomo wake unaishia kwenye camera za CNN na Washington Post

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wewe lazima utakuwa moja katika hao vijana wanaosemwa hapa...

Mtoto wa Kuku said:
Hawa ndo Dr lwaitama aliowasema....wanamiliki tecno na Shule Hamna ila kwa ubishi sasa lol....hapo kishaweka bando lake la 500 anabisha kila kitu asalaleee fungu la kukosa
Eti unajiita babu na mjukuu...!

Delnson said:
Kinyume chake ni sahihi Washington haitokuwa kama ilivyo kama itarnda vitani na Moscow na hilo Joe analijua fika ndio maana mdomo wake unaishia kwenye camera za CNN na Washington Post
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mwingine huyu... masikini DENLSON ...!
Yaani hawa huwaambii kitu kwa Marekani. Wao marekani sio binadamu wa kawaida

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Naam, ni kweli...Marekani si binadamu wa kawaida!

Kwa ufahamisho tu...Wapo Wamarekani wadengereko, warusi, wahindi, wasukuma, waswahili, wakikuyu, waitaliano, wachina, wapogoro, waibo, waarabu, wapagani, wakatoliki, wabudha, waislamu, wakristo, walatino, wanubi...

Kwa kifupi kila kinachopatikana duniani hapa utakipata Marekani. Kila rangi, jinsia, kabila, tabia, tamaduni, lugha, mila...utaipata Marekani.
 
Umeongea kishabiki sana aliyekwambia uchumi unapigana ni Nani kuwa na uchumi mkubwa haikupi guarantee ya kushinda vita Ila inakubost kwenye military strategy Tu alau marekani na Russia kila mmoja ana mbinu tofautii katika upiganaji haitakaaa itokee vita ya marekani na Russia usikae kujidanganya na usichukulie uchumi WA Rusia kirahisi ivyoo laeo hii dunia isingekuwa na maumivu kama vikwazo vya Rusia visingewekwa wengi uku mnaibeza snaa Rusia Ila nakwambia Tu mtu anaweza kuishi Kwa amani na furaha bila ya kushika computer au simu yake Ila siyo Kwa kukosa chakula Rusia ana uchumi WA kiasi Ila unaojitosheleza marekani Una uchumi mkubwa Ila Una magepu mengi Kati ya maskili na matajiri
 
heshima kwako
 
Ayo madini kachimbe uuze Sanaa unabwabwaja nn apa
 
Kwanza Shikamoo Join the chain ya CHADEMA inaendeleaje!

Naona CHADEMA mmeshika msimamo kwamba mnasimama na Urusi nauliza Mbona mkitoa mifano ya democracy mnatolea ya USA, na mnaposhambuliwa mnaenda USA si Urusi?
sisi ni zero brained mkuu , yaan Chama kinashabikia demokrasia ila kinasapoti kiongoz dikteta , hii ndo inafanya hiko chama hakitoshika dola , hakijielew
 
IRAQ labda ilikua inaogopewa na IRAN na SYRIA labda
Kwamba US akiingia vitani na RUSSIA yale majengo marefu pale DC nakwengineko yatabakia kama yalivyo!!?
US ndio anatapatapa hv kuelekea mwisho wake
kwa huduma ya kujifurahishe bonyeza #
 
Tecno kwenye ubora wako....
 
Ugoro mtupu Pro Us
Huna Lolote
Sasa aliyeandika ugoro ni nani kati ya mleta mada na wewe,si bora hata wenzio wanajaribu kupinga kwa hoja.Wewe umekosa hata cha kuandika ukaishia kuandika ugoro wenyewe haswa.
 
Nikikubaliana na hii kauli yako basi inatosha kabisa kuniona kijana mjanja na mwerevu!?
Daaaaah, poa mkongwe!!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dr alisema wanye tecno wakishaweka bando ni mwendo wa kujibu kila mtu....🀣
 
Asante mkuu kwa kuliweka hili sawa,huwa naskip kusoma comment zake sababu ya hayo maneno yake ya kipuuzi puuzi,kila baada ya sentensi mbili ataweka neno 'ushoga' ni kama amekuwa addicted na hilo neno.Huwa anakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…