Hivi Bakressa akikuattack atakushinda kwa sababu uchumi wako ni mdogo?Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!
Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .
Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,
Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya
Basi nawaambia kwamba
Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !
Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…
Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!
Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,
Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!
Mimi Dr. Lwaitama
Kama unaona linanihusu na unajua basi niko mke wako pia.Ninywe sumu kisa...!!?
Akili zulizoathiriwa na ushoga tabu sana.
Nasisitiza "ushoga" kwani kuna uzi mwingine ulilalamika mi kutumia hilo neno. Najua hulipendi kwakuwa linakuhusu
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Unasema uzi haujashiba wakati unaona kabisa bado kuna mwendelezo unakuja,kweli bado tuna safari ndefu sana kama TaifaNaona kama Uzi haujashiba!Kwa Tambo ulizoanza nazo basi nikajua Uzi utakuwa na content ila nimekuwa disappointed!
Hapa umeonesha unazi wako na mahaba kwa Urusi bila kuukubali ukweli uliopo.Lakini, pamoja na vikwazo hivi, wewe unadhani wao pia hawatatetereka. Unadhani dunia haitaanza kujiuliza kwa nini mfumo wa biashara uhodhiwe na nchi moja au kundi la nchi? Unadhani huu hautakuwa mwanzo wa kuuliza maswali juu ya mfumo huu?
Heshima mkuu 'Proved'.Hapa umeonesha unazi wako na mahaba kwa Urusi bila kuukubali ukweli uliopo.
Kwani unadhani Dunia haijawahi kujiuliza kuhusu mfumo wa uchumi uliopo mpaka baada ya hivi Vita?...
Marekani Kama kubwa la Ubeberu, ndiyr kinara wa uchumi kwa Sasa, ana ushawishi mkubwa kwenye taasisi/mifuko yote ya kifedha achilia mbali wa kidiplomasia, na Dunia inatambua hilo hivyo hakuna wa kujiuliza kuhusu hilo.
Hivi vita vitachochea maswali zaidi na uharaka wa kutafuta majibu juu ya maswali yaliyokwishaulizwa huko nyuma.Kwani unadhani Dunia haijawahi kujiuliza kuhusu mfumo wa uchumi uliopo mpaka baada ya hivi Vita?...
Unadhani kuna wenye uwezo wa kupinga hili na wakafanikiwa?Sasa wewe unadhani watu wataacha kujiuliza kwa nini sarafu ya nchi moja ndiyo iwe msingi wa uhai wa uchumi wao?
Tuseme hivi, maadam wazo limeingia akilini, ufumbuzi wake ni lazima upatikane. Hilo ndilo kuu zaidi.Unadhani kuna wenye uwezo wa kupinga hili na wakafanikiwa?
Kwa hoja alizoziweka Dr ni ngumu kumtofautisha na hao anaowabeza (wenye Tecno).Dr alisema wanye tecno wakishaweka bando ni mwendo wa kujibu kila mtu....🤣
Wewe nakubaliana na mleta Mada Iran ilikuwa tishioIRAQ labda ilikua inaogopewa na IRAN na SYRIA labda
Kwamba US akiingia vitani na RUSSIA yale majengo marefu pale DC nakwengineko yatabakia kama yalivyo!!?
US ndio anatapatapa hv kuelekea mwisho wake
huo msimamo wa Cdm na Urusi ni wa Yeriko peke yakeKwanza Shikamoo Join the chain ya CHADEMA inaendeleaje!
Naona CHADEMA mmeshika msimamo kwamba mnasimama na Urusi nauliza Mbona mkitoa mifano ya democracy mnatolea ya USA, na mnaposhambuliwa mnaenda USA si Urusi?
kuna mmoja anaitwa Yeriko nasikia anataka kuandika kitabuNaunga mkono hoja..
Kuna baadhi ya watu humu hawaangalii ukweli.. wanafanya ushabiki tu kama wa Simba na Yanga!
HahahaHawa ndo Dr lwaitama aliowasema....wanamiliki tecno na Shule Hamna ila kwa ubishi sasa lol....hapo kishaweka bando lake la 500 anabisha kila kitu asalaleee fungu la kukosa
Mkuu, sidhani kama huo msimamo ni wa chama.. Itakuwa ni maoni binafsi ya watu wachache.Kwanza Shikamoo Join the chain ya CHADEMA inaendeleaje!
Naona CHADEMA mmeshika msimamo kwamba mnasimama na Urusi nauliza Mbona mkitoa mifano ya democracy mnatolea ya USA, na mnaposhambuliwa mnaenda USA si Urusi?
Mkuu ulichokisema ndo uhalisia wa vita vya kisasa tatizo huyu lwaitama1 amechambua haya mambo ya vita vya karne hii kwa kuangalia technology na facts za kizamani za kutumia mapanga, visu, gobole, farasi, bunduki na mabomu ya kutifua ardhi , ambapo hiyo technology ndo ilikuwa inaweza kutumia muda mrefu mkipagana kwenye battle field face to face.Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.
Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?
Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.
Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Mimi kwakweli sikubaliani na hiyo hoja..kama Marekani wangekuwa vizuri kama unavyosema, waliwahi kuingia vitani na Vietnam, nini kilitokea? Walichemsha vibaya sana. Na tena walikuwa wanasaidiwa na ufaransa na nchi zingine za ulaya. Juzi tu alikuwa huko Afghanistan, amefanya nini? Baada ya miaka kama 20 hakuna lolote la maana Ali achieve. Kama alishindwa huko ndo ataiweza urusi? Marekani ameishia kuwanyanyasa waarabu tu. Urusi sio level yake. Kwa kuthibitisha Hilo, hakuna mahali marekani yupo anapigana, urusi akaingia akaendelea kubaki. Wiki 2 tu zilimtosha kumfurusha mmarekani hapo Syria.Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!
Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .
Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,
Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya
Basi nawaambia kwamba
Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !
Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…
Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!
Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,
Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!
Mimi Dr. Lwaitama
Urusi kusaidia wengine haihalalish kuvamia sovereign nation , hata mm nlikuwa shabiki mkubwa wa Putin ila nimemuona kenge kwa huu uvamizWaweza ishusha Urusi ktk nyanja zoote ujuazo eg uchumi sijui nini lakini usije thubutu kufanya hivyo kwenye vita na hili wakubwa kuliko wewe wanalijua ndo maana hata wao walianza na vikwazo na wakasema Urusi haiwezi kudumu vitani ndani ya mwezi cha ajabu muda unavyozidi kwenda ndivyo mashambulizi mazito yanazidi fanywa na Urusi na sasa hesabu zimegoma hata propaganda ya kwamba Urusi watu wanalala njaa haziwezekani tena kila nchi muda si mrefu itaanza kutetea maisha ya watu wake badala ya porojo za US.
Kuna watu wanaikosoa Russian kwakuwa ni undemocratic kitu ambacho ni kweli lakini wakumbuke kuwa nchi zote duniani zilizoingia mapigano na NATO pona yao ni kusaidiwa na urusi kama si hivyo hiyo nchi lazima eteketee hivyo ni nchi nyingi sana zilikuwa ni makoloni zilipata uhuru kwa msaada wa AK47 hata Julius Malema aliwahi sema hili.
Kikubwa ktk vita ni mipango na siyo kukariri uchumi kwani ilikuwaje Israel akazishinda nchi zaidi ya 5 kwenye vita?
NATOA ONYO BILA KUJALI UNA UCHUMI MKUBWA KIASI GANI USIJE VAMIA URUSI UKIAMINI UCHUMI UTAKUOKOA UTAKUFA KATIKATI YA MANOTI YAKO NA YASIKUSAIDIE CHOCHOTE.
Hapo kwanza nicheke , kwan tunazungumzia mataifa ya ukanda gan ? mara hii ushaanza uliza kama hamna mataifa sehemu nyingine ? Naamini umeelewa hoja yangu ila ndo utimu unakutoa ufahamu , mataifa ya mashariki ya Ulya sio wajinga kumwaga damu kujiunga na WEST , Urusi anafanya maovu mengi kwenye uchumi na siasa za majirani zake , ovaNinakusikitikia sana mkuu 4by94, kwa kukosa ufahamu wa mambo ya dunia kama haya.
Sitapoteza wakati wangu zaidi hapa kufafanua chochote nilichokwishakiandika humu kwa maana naona huna uwezo wa kuelewa kilichoandikwa.
Unauliza kama NATO alishavamia nchi yoyote (ya ulaya), kwani ni ulaya pekee ndiko kuna nchi? Hii inaonyesha wazi huna ufahamu wa kutosha juu ya mambo haya.
mjomba tuliza akili hoja zinakuelemea tyr , huelewek unaandika nn , ebu kumbuka mada ni ulaya ya masharikiNinakusikitikia sana mkuu 4by94, kwa kukosa ufahamu wa mambo ya dunia kama haya.
Sitapoteza wakati wangu zaidi hapa kufafanua chochote nilichokwishakiandika humu kwa maana naona huna uwezo wa kuelewa kilichoandikwa.
Unauliza kama NATO alishavamia nchi yoyote (ya ulaya), kwani ni ulaya pekee ndiko kuna nchi? Hii inaonyesha wazi huna ufahamu wa kutosha juu ya mambo haya.