Hasira za kutumbuliwa hazijaisha tu!!!Hili bwawa ni uchafu na wizi wa Shetani Magufuli Halitakua na tija yoyote tayari hapo lilipo ni white elephant.
CCM tunatumia nguvu nyiiingi kulibrand ila kiukweli ni uchafu wa kimataifa. Hapo ni kupaka rangi jeneza tuuu.
Waache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my wordsHawa wazee naona wanaitafuta corona kwa nguvu wamechoka kuishi
Waache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my words
Hizi roho za dizaini hii ndizo zinasababisha watu wawapotezee halafu mnakimbilia kuomba katiba mpya( naamini kabisa wewe ni miongoni mwa wanaopiga kelele za katiba mpya)Waache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my words
Nakubaliana na weweWaache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my words
Huwezi kuwafanya watanzania kuwa watumwa wa corona ya kufikirika!!Hawa wazee naona wanaitafuta corona kwa nguvu wamechoka kuishi
Wapi nimetaja umauti? Umerogwa wewe ndomaana unakata mauno boya wee!Hizi roho za dizaini hii ndizo zinasababisha watu wawapotezee halafu mnakimbilia kuomba katiba mpya( naamini kabisa wewe ni miongoni mwa wanaopiga kelele za katiba mpya)
Sasa hapo kosa lao ni lipi sasa mpaka uwaombee mauti?
Bwawa = Tsh 7 trilioni
Bagamoyo = Tsh 23 trilioni
Wanasema,
Daraja kigamboni = Tsh 160 bilioni(Nasikia wakapinga kuwa ni kubwa, wakatawanywa)
Daraja kigamboni = Tsh 260 bilioni ikatumika, wenye wizara wakarudishwa, nasikia.
ESCROW ni pesa za nani, wakasubiri jibu akitua.
Akatoa elimu ya tezi dume na kusema, upepo mbaya, utapita.
Wakatoka bungeni, tukapitisha ile hati ya dharula usiku, na sasa tunaandaa port ya kuuzia mali ile.
Mkwere katika ubora wake wa kuhamisha goli.
Mtoto wa mjini huyo hao wazee na yeye ni kama waarabu wa pemba wanaojuana kwa ufungaji wa vilemba vyaoHivi JK alishawahi kurudi kwa wazee wa DSM akina Mkali na kuwaambia mwenye pesa za Escrow ni TANESCO au kawaacha na ubofu wao?
Ni ngumu sana, hayati aliyafanya yote kwa Tanzania nzima sio kwa kabila moja tu.Kuna kabila Fulani limeamua kupambana kufuta legacy ya Magu