Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hv umeishia drs la ngap ? Ebu rudi usome tena yote nliyokujib , kuna sehem nmesema hayo yote au machache uliyotataja hayapo USA ? una kichwa kibovu cha karne hii , Narudia tena bora USA kuliko huko upasikii maana watu weusi huko wamezwa kbs hata kuonekana kwenye tv ni nuksi kwa nchi zao , Je China , Russia , Korea na Iran kuna mtu mweusi kwenye nyazifa za juu za system zao ? Kweny timu zao za taifa kuna mtu mweusi ( sio watu ) , au kweny field yoyote huko kwao umewai ona mtu mweusi , je unahisi hakund watu weusi kweny hzo nchi?
Waonekane kwenye TV wamekwambia waarabu wanatengeneza vipindi vya TV vya kuuza nje?Una exposure ndogo Sana..
Unakakriri kila kilichopo USA na kila nchi kiwepo??
 
Unalazimisha nibishane kitu ambacho sijaanzisha ubishi...nacho..
Na still unaongea uongo unaonesha upeo mdogo....
Mimi nilikuwa nakuonesha ukatili wa wazungu...wewe umekimbilia kwenye maisha Bora ambako nako huna data unaongea vitu based on films na tvna huko nako nakupa data Hadi za picha mara ukahamia midle east hakuna waafrika kwenye leadership nakupa Hadi picha ya Emir wa Kuwait mwafrika...bado tena unahamia kwingineko.....humjui hata Qaboos aliezaliwa Kigoma akaja kuwa mfalme Oman. Unamjua??
Wap nmezungumzia maisha bora ? hv una akili timamu kwel ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mzee stress za maisha zitakuua , ugumu wa maisha unasababishwa na serikali kutokuandalia msingi mzuri yako
 
Unalazimisha nibishane kitu ambacho sijaanzisha ubishi...nacho..
Na still unaongea uongo unaonesha upeo mdogo....
Mimi nilikuwa nakuonesha ukatili wa wazungu...wewe umekimbilia kwenye maisha Bora ambako nako huna data unaongea vitu based on films na tvna huko nako nakupa data Hadi za picha mara ukahamia midle east hakuna waafrika kwenye leadership nakupa Hadi picha ya Emir wa Kuwait mwafrika...bado tena unahamia kwingineko.....humjui hata Qaboos aliezaliwa Kigoma akaja kuwa mfalme Oman. Unamjua??
Wap nliitaja Oman ? Ebu rudi usome nlipokuwa nazungumzia madaraka/nyazifa/fursa ,kaangalie nliquote maeneo gan ?, hlf uje useme wap nliigusia Oman kipind nazungumzia madaraka / nyazifa /fursa , kichwan ww ni mtupu sana , tuliza akili kabla hujamjib mtu
 
Wap nmezungumzia maisha bora ? hv una akili timamu kwel ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mzee stress za maisha zitakuua , ugumu wa maisha unasababishwa na serikali kutokuandalia msingi mzuri yako
Upeo wako mdogo ...
Kabla hujaongea kitu hebu ka Google kwanza....nenda Ka Google nchi zenye
Crime rate..
Magonjwa kama kansa
Food safety..
Hivyo ni miongoni mwa vitu vinavyoleta maisha bora..
Sio Hollywood films
 
Waonekane kwenye TV wamekwambia waarabu wanatengeneza vipindi vya TV vya kuuza nje?Una exposure ndogo Sana..
Unakakriri kila kilichopo USA na kila nchi kiwepo??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nchi hapa hatuna mtu , nmpe pole mzee wako alipoteza protin zake tu , mtot kichwa maji , ww kwenye yote hayo umeona kuhusu kuonekana kwenye Tv , kaz kwel kwel
 
Upeo wako mdogo ...
Kabla hujaongea kitu hebu ka Google kwanza....nenda Ka Google nchi zenye
Crime rate..
Magonjwa kama kansa
Food safety..
Hivyo ni miongoni mwa vitu vinavyoleta maisha bora..
Sio Hollywood films
[emoji23] [emoji23] mkuu kukosa ajira isiwe ttzo , wapo wengi hawana ajira usiwe na stress nying [emoji23] [emoji23] [emoji23] , nlisema wazungu wastaarabu ww ukaleta story za ubaguzi nkakujib bora USA kuliko huko kwingine , ukakaza fuvu sasa hv unarukia food safety , crime rates sijui magonjwa etc vitu ambavyo ni OP kwenye thread hiii kwann usifungue thread uteme nyongo huko mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana naona umelishwa matango huko umekuja yatemea hapa sasa [emoji23] [emoji23] ebana bora USA ndio maana mnaenda USA sio Urusi wala Iran maana huko nchi zinaendeshwa kibabe sana
 
[emoji23] [emoji23] mkuu kukosa ajira isiwe ttzo , wapo wengi hawana ajira usiwe na stress nying [emoji23] [emoji23] [emoji23] , nlisema wazungu wastaarabu ww ukaleta story za ubaguzi nkakujib bora USA kuliko huko kwingine , ukakaza fuvu sasa hv unarukia food safety , crime rates sijui magonjwa etc vitu ambavyo ni OP kwenye thread hiii kwann usifungue thread uteme nyongo huko mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana naona umelishwa matango huko umekuja yatemea hapa sasa [emoji23] [emoji23] ebana bora USA ndio maana mnaenda USA sio Urusi wala Iran maana huko nchi zinaendeshwa kibabe sana


Screenshot_2023-06-18-03-50-28-161_com.android.chrome.jpg
 
Wazungu waastaarabu ndo maana wakawabeba watu weusi kama watumwa na kuwatesa huko makwao Kwa miaka 400??
Mzungu, Mwarabu na Mwafrika mwenyewe, wote hao waliwachukua waafrika kama watumwa.
Wale watemi na wa kuafrika ndiyo walikuwa mawakala wa kwanza wa kuwajusanya na kuuza watumwa.
Ni ufinyu wa akili kudhani eti biashara ya watumwa ilifanywa kwa watu kusombwa bila hiari ya viongozi wa kiafrika.
 
[emoji23] [emoji23] mkuu kukosa ajira isiwe ttzo , wapo wengi hawana ajira usiwe na stress nying [emoji23] [emoji23] [emoji23] , nlisema wazungu wastaarabu ww ukaleta story za ubaguzi nkakujib bora USA kuliko huko kwingine , ukakaza fuvu sasa hv unarukia food safety , crime rates sijui magonjwa etc vitu ambavyo ni OP kwenye thread hiii kwann usifungue thread uteme nyongo huko mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana naona umelishwa matango huko umekuja yatemea hapa sasa [emoji23] [emoji23] ebana bora USA ndio maana mnaenda USA sio Urusi wala Iran maana huko nchi zinaendeshwa kibabe sana

Screenshot_2023-06-18-03-55-01-694_com.android.chrome.jpg
 
Mzungu, Mwarabu na Mwafrika mwenyewe, wote hao waliwachukua waafrika kama watumwa.
Wale watemi na wa kuafrika ndiyo walikuwa mawakala wa kwanza wa kuwajusanya na kuuza watumwa.
Ni ufinyu wa akili kudhani eti biashara ya watumwa ilifanywa kwa watu kusombwa bila hiari ya viongozi wa kiafrika.
Mimi sijabisha dhambi za watu wengine..hapa napinga hiki kitoto kinapo wasafisha wazungu kama watu wema Sana...hakijui history..kimesoma history iliyo edited ya wazungu kinaongea kama 'kitumwa "kuwasafisha wazungu
 
Tupo 2023 sijui unataka tumlaumu nan ? Wkt huyo black na hao wazungu wote hawapo dunian , hapa ndo nawaitaga nyiny wehu , pili mpk huyo mtoto anafikishwa hapo kuna makosa ya sisi watu weusi , hatukuwa na umoja wala kupendana tuliuzana na hayo ndo yalikuwa malipo ya ujinga wetu binafsi nkionaga hivyo huwa nawalaumu mababu zetu mbona Ethiopia waliweza kwann isiwe sisi ? , hata leo mmeanza yarudia makosa hayo hayo mnashabikia ugawaji wa mali za nchi kisa dini moja na mtayalipia kama hivo huko mbeleni si mnaona V8 ni bora kuliko nchi yenu mnagawa tu mali kwa kuyafurahisha matumbo yenu
 
Tupo 2023 sijui unataka tumlaumu nan ? Wkt huyo black na hao wazungu wote hawapo dunian , hapa ndo nawaitaga nyiny wehu , pili mpk huyo mtoto anafikishwa hapo kuna makosa ya sisi watu weusi , hatukuwa na umoja wala kupendana tuliuzana na hayo ndo yalikuwa malipo ya ujinga wetu binafsi nkionaga hivyo huwa nawalaumu mababu zetu mbona Ethiopia waliweza kwann isiwe sisi ? , hata leo mmeanza yarudia makosa hayo hayo mnashabikia ugawaji wa mali za nchi kisa dini moja na mtayalipia kama hivo huko mbeleni si mnaona V8 ni bora kuliko nchi yenu mnagawa tu mali kwa kuyafurahisha matumbo yenu
Anything ili kumsafisha Mzungu na maovu yake...
The job of brainwashing people like you has been very best.
Uko tayari kumlaumu kila mtu hadi waafrika wenzako but wazungu hutaki kabisa waguswe...😅😅😅
 
Anything ili kumsafisha Mzungu na maovu yake...
The job of brainwashing people like you has been very best.
Uko tayari kumlaumu kila mtu hadi waafrika wenzako but wazungu hutaki kabisa waguswe...[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio maana nakuita ww mpumbav , kwann West walivamia Iraq ila hawawez kuvamia Urusi ma China ? Hata kipind hizi zilipokuwa dhaifu , Kama una akili utaelewa ila kama huna akili hutoelewa ,wale collaborators ( waafrika wenzetu ) ndo walituuza ili wapate nakshi na silaha kutoka kwa wazungu au waarabu au wahindi , hakuna mzungu aliingia ndan ndan ya afrika bara kutafuta watumwa , bali ndugu zetu waafrika ndo walitushika wakatupeleka hadi kweny masoko ya utumwa , HATUENDELEI SABABU TUNAPENDA TAARIFA ZA UONGO KUTUFURAHISHA KULIKO TAARIFA ZA UKWEL , SI UKOLONI WALA UTUMWA VYOTE SABABU NI SISI WENYEWE , NA SASA HV TUNAURUDISHA TENA KWA TAMAA NA USHABIKI WA KIDINI AU KIITIKAD AU MAAMUZ YA MIHEMKO YASIYO JALI MASLAI YETU KM NCHI BALI MAAMUZ YA KUKOMOA UPANDE FULAN NDO MWISHOWE UNASTUKA UKIWA USHAGAWA UHURU WAKO
 
Mfano gani tena unataka mkuu

Hamtramck ,Michigan is the only Muslim-majority town in the United States wakazi wake 90% ni waislamu.

Na wanapitisha sheria zinazoendana na matakwa ya uislamu
Kumbuka, 40% ya wakaazi wa Hamtramk ni wahamiaji.
Kingine ni hiki;

ELECTIONS

Hamtramck City Council will be all Muslim, likely first in US, in January​

Niraj Warikoo
Detroit Free Press

The six-member City Council of Hamtramck will consist of all Muslims starting in January, another historic first for the metro Detroit city known for its sizable immigrant population.
The newly elected mayor, Amer Ghalib, 42, is also Muslim, which means all of the city's elected officials will be Muslim.

In Tuesday's election, three candidates who are all Muslim were elected and will join three current City Council members who are also Muslim. Five of them are immigrants and one is a convert to Islam with ancestral roots in eastern Europe.
Advocates with Muslim groups and experts say they do not know of any other city council in the history of the U.S. that has been entirely Muslim.


Council members told the Free Press that religion will not play a role in their decisions.
"It’s important to remember that although we all happen to be practicing Muslims, we are elected through the processes set forth by the United States, Michigan, Wayne County and Hamtramck," Amanda Jaczkowski, one of the three newly elected Muslims on the council, told the Free Press. "We will all take an oath ... to protect the Constitution of the United States, and that includes the concept of separation of church and state. I believe strongly in that separation, and although I will bring the Islamic values of honesty and integrity to the table, the policies that I promote and affirm will be what is best for all people of Hamtramck."

Current City Councilman Mohammed Hassan stressed the same message.
"Religion is not inside the (City Hall) building," Hassan said. "It's outside in the mosque and temple and the church. Not in City Hall."
Hassan added that "nothing will change in council, we remain the same."
"We respect all the religions," Hassan said. "Inside the City Hall, we are responsible for the residents ... we do our responsibility by the book."
Khalil Refai, one of the three council candidates elected on Tuesday, was the top vote-getter.

Refai said he will be focused on policy issues and that he respects the religious diversity of the city, which was once known as a Polish Catholic enclave.
"I ran for office to solve everyday issues facing our community," Refai said. "Fixing our sewers and lead pipes, finding creative ways to increase city revenue and creating a more transparent, inclusive City Hall are all important issues we heard during the campaign. I am looking forward to solving these issues with my colleagues. I am a proud Hamtramckan, and I love living in a community that has people with many different religious backgrounds."

Changing population​

The percentage of Muslim residents in Hamtramck is not clear since the U.S. census does not ask about religion.
But estimates based on census ancestry data suggest that about half are Muslim. About 25% of the city is of Arab descent, most of them Yemeni, and an additional 27% is of Asian ancestry, most of them Bangladeshi, according to 2019 census data. Almost all Yemenis are Muslim, while Bangladeshi Americans in Hamtramck are a mix of Muslim, Hindu, Buddhist and Christian.
 
Je kati anaetoa takwim na aliyefunika mambo , nan bora ? Nan kaonesha uthubut wa kutatua ttzo ? Hv unajuwa ukiwa sehem nyingi za Urusi huez kutoka nje miji bila kuwa na mwenyej? Je uliwai kuona takwim zao ? Waafrika ni vichwa vibovu hatuez chakata akili zetu , huko penye matatizo mengi ndo wengi wanaenda , kwann msiende Urusi na Uchina au Nchi za Mashariki ya kati , kipi kinawafanya msitulie hapo krb tu mpk mnaenda huko mbali marekan ya kaskazin !
Kwahiyo ukienda Urusi na mashariki ya kati hakuna waafrika wanaishi huko?
 
Sasa hiyo hoja ya kusema watu weusi wanapenda kukimbilia Marekani inatoka wapi?
Upendeleo unapimwa kwa takwimu au kwa muonekano. Dhambi ipo wapi hapo?
Blacks in Russia ni chini ya 1%
While blacks in US ni 13%
 
Huku kukiwa na upinzani dhidi ya pendekezo hilo, Hassan aliwaambia wanao leta pingamizi "Tafadhali msitutishe. Mimi ndiye afisa nilyechaguliwa. Ninafanya kazi kwa ajili ya watu, na kile ambacho watu wengi wanapenda."
Iwafikie wanaojitanabaisha kuwa nchi ina democrasia
Tunataka tusikilizwe kuhusu uuzaji wa rasilimali za nchi, bunge letu halina uchungu na sisi
 
Back
Top Bottom