Huyu ndiye aliyesababisha umwagaji damu Arusha muwe mnatunza kumbukumbu vizuri ili tuje kupeana hukumu ya haki.
Mary Chatanda alikuwa ni mbunge vitu maalum anatoka Korogwe Tanga, kimsingi baraza la madiwani analopaswa kuingia ni la Korogwe.
Baada ya Ccm Arusha mjini kuzidiwa column na madiwani wa Chadema ni wazi meya lazima atoke Chadema ndio from no where kwenye uchaguzi wa mega akatokea huyu mshirikina Mary Chatanda akatangazwa ni mjumbe wa baraza la madiwani Arusha wakati ubunge wake smeupatia Korogwe Tanga.
Muuwaji yaliyotokea Arusha mjini na damu zilizomwagika huyu mshirikina hazitomuacha Salama, ni swala la muda.
Nilishangaa sana kusikia eti Mary Chatanda ndio amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa wanawake wa Ccm, inasikitisha sana.
Sasa asidhani watu wamesahau, damu za watu zinamlili na zitamuandama mpaka kaburini.
Watu kama Mary Chatanda wakifa Mimi kwangu ni sherehe nanunuwa maini na kufunguwa Champagne kabisa.