Mary Chatanda: Freeman Mbowe amekosa shukrani kwa Rais Samia pamoja na kumtoa gerezani. Huenda ameathirika kisaikolojia

Rais anaongoza mhimili wa serikali au mahakama?
 
Hivi Mbowe aliwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli au Samiah?. Mwambieni huyo mama asiwe muongo.
 
Mbowe gaidi linapaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa na mzoga wake upewe fisi wa hai. Mpaka siku atakapoomba msamaha juu ya dhihaka yake kwa Dkt Magufuli he will never settle huyu kengeza mpuuzi
Unaujua ugaidi? Stress zitakuua
 
Mbowe gaidi linapaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa na mzoga wake upewe fisi wa hai. Mpaka siku atakapoomba msamaha juu ya dhihaka yake kwa Dkt Magufuli he will never settle huyu kengeza mpuuzi
Acha upumbavu. Unamtukana mtu kisa maumbile yake. Mungu adhihakiwi.
 
Chawa
 
Huyu mama mwambieni aache uongo Mh Mbowe hakukamatwa na kufungwa gerezani wakati wa utawala wa Magufuli. Alimkamata huyu huyu aliyepo sasa hivi tena mwezi wa saba 2021 mbona ninyi CCM mnamsingizia Dr JPM? Mlaaniwe ni vizazi vyenu kwa chuki zenu
 
Mahakama gani ilimhukumu Mbowe? Acha upotoshaji
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashaka na Uoga!
 
Nawaonea huruma familia yake kuwa na limama jinga na lisilo na kumbukumbu kiasi hiki. Ila hawa ndio chawa pro max wa bi tozo wanafanana vichwani.
 
Siku Watanzania tutayokuwa na akili, ndipo tutapoweza jikwamua toka kwenye umaskini...
 
Yaani kesi umbambike, umtie gerezani, halafu atoe shukrani?
 
Mbowe gaidi linapaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa na mzoga wake upewe fisi wa hai. Mpaka siku atakapoomba msamaha juu ya dhihaka yake kwa Dkt Magufuli he will never settle huyu kengeza mpuuzi
Naomba yaarabbi akujalie kilema chá maisha kwa sababu ya dhihaka unayoifanya.


Alikugaidia mama yako alipotaka kumgonga ndio ukasema ni gaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…